Pole sana, but we are in the same boat. Mimi na familia yangu pia hatujahesabiwa. Jana nilienda kwa mwenyekiti wa mtaa kutoa taarifa sikumkuta ila niliacha ujumbe but mpaka ninaondoka nyumbani leo saa mbili asubuhi hakuna aliyekuja.
Kinachonishangaza ni kuwa baadhi ya majirani wamehesabiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.