Nimejaribu kutafuta ile post ya Business Intelligence Analyst zilizotangazwa na TRA kule kwenye system yao haionekani. Yaani pale unapotaka ku submit application kuna sehemu unapochagua vacancy , hii post haitokei, posts nyingine zipo kama kawaida, sijui nini kimewapata hawa wakubwa wa fedha...
Tuache kuwabeza wasomi wetu kwa kuangalia vitu visivyo na mashiko.
1. Wasomi wa Tanzania wapo vizuri sana katika taaluma zao, tatizo kubwa ni lugha ya malkia.
2. Makampuni mengi hapa TZ wapo watz kibao ambao ndiyo vinara wa operations kubwa katika makampuni hayo. Mfano kampuni za SIMU hapa TZ...
Naona wanahaha.
Nimewaambia nitamwaga data hapa za mchakato wa ajira zilizotangazwa (deadline ya 15 Dec, 2014) wiki iliyopita.
Vijana wenye sifa za kujaza position walizotangaza, wapo, na wame submit maombi tayari, tuwe na subira, mchakato ukianza nitaweka data hapa jamvini.
Ok, sisi tuli focus kuandaa application kwaajili ya matumizi ya kule Tanzania zaidi.
Hapo unalipa about Tshs 45 per sms (NOT message), ikiwa message yako inazidi ukubwa wa sms watapiga hela zaidi. Sasa sisi kwa kuzingatia gharama na amount kubwa ya sms tunazotaka ku sambaza, tumeona vema...
Yes, I know.
Njia nyingine ni kupata access ya SMS Server/Gateway ya mobile operator katika nchi yako au nchi ambazo zina consumers wa application yako.
Mobile operator anaweza kukupa hostname, account name na password then una route message zako moja kwa moja kwenda kwenyeSMS server ya...
Nimecheki kuona jinsi gani tunawezapata hii service kule Tanzania kupitia Mobile Operator wa kule TZ, hadi sasa sijapata jibu.
Wewe unatumia technology gani kwenye application yako ambayo unataka ku integrate na SMS service?
1. Kwa ndege 1kg ni 10USD, kwa meli 1 Cubic metre ni 400USD(ushuru included)
2. Huhitaji agency kwa method #1 niliyokupa (ofisi zao zipo tz unakwenda kuchukua tuu)
3.Kwa ndege unalipa Tshs 70,000 kwa kila 32kg, kwa meli hulipi tena ushuru
4.Faida na hasara inategemea biashara itakavyokuwa
5...
OK. Asante sana.
Kutokana na idea yako, tunahitaji SMS gateway.
Nimecheki baadhi ya SMS gateways, nimeona twilio.com wana APIs na documentation nzuri. Pricing per SMS siyo kubwa sana except kwa Airtel users.
Pamoja.
Mtu anaweza input 0715 99999 au 0784 999999. Assume namba hizi bado hazijaingizwa sokoni ingawa zipo ktk format sahihi, Je una idea yeyote ya kuchek if number ina exist?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.