Kuna watu wanapenda kukuza mambo, huyo Ngetti ni mtu ambaye hata address hana. ni kijana omba omba tu
..moto wa JPM unafanya watu waweweseke tu. Na bado
Ili jambo limekuwa mispresentated...ukweli ni kwamba cost ya kutengeneza logo ilikuwa 10 million tu. Na baada ya hapo wakatangaza tenda ya kufanya rebranding kwa matawi yote nchi nzima ambayo ni matawi 75. Kwa wastan wa milion sita kila tawi. Huyo mwenye 200 m akapewa afanye brand ya mfano tawi...
Tatizo vijana mnataka mafanikio ya haraka haraka halafu mnaleta visingizio. Subirini uchunguzi ufanyike ndio utabaini ukweli...na sio kelele kwenye jamii forum
Tunapenda kutumia Matusi ... lakini kumbukeni nani aliyemumwagia Kubenea Tindikali? Leo huyo huyo ndo Shujaa wake...Nadhani hata magazeti yake...saivi n ya udaku tuuu
Baada ya kukaa bungeni kwa mda ya miaka mitano bila kuwa na tija yoyote... wabunge wafuatayo wa upinzani wataonja joto kubwa kwenye kutetea nafasi za kurudi mjengoni kama ifuatavyo.....
DAVID SILINDE.....
SALVAORY MACHEMULI
HYNES KIWIA
PROF KAIGI
MBASA
MESHACK OPOLUKWA
MH. KASULUMBAI
DADA...
Kweli hii nchi haitabaki salama.Leo madiwani wa CCM Sumbawanga Vijijini wamewekwa kitimoto ili kesho wasiweze kuibua sakata la wizi wa pesa zaidi ya million 260 zilizochotwa na Mkurugenzi akishirikiana na mbunge Malocha.
Pesa hizo zimechotwa ndani ya mwezi mmoja. Uongozi wa CCM wilaya unahaha...
SHIVJI YUPI? Huyu kabachori? kalambishwa visenti basi kawa kama punguani hata kwa sasa hajitambui.....kaungana na vilaza waliopoteza taifa ......kwa hiyo usitaraji mtu mwenye akili timamu ataungana na huyo kabachori.....
Pole sana ndugu kwa Uchulo unao kufikia kwani inaonesha umekata tamaa na maisha....endelea kumuomba Mungu akusaidie labda na wewe unaweza siku moja ukakabidhiwa chuo kama Magotti....zaidi zaidi utabwataaa weee humu JF na wala hakuna utakachopata...acha wivu wa kike .
Mim naitwa James Yatenga Simaleka wa Kalambanzite...si gamba, msomi na mwenye mwono wa mbali...mambo yanayo nikera jimboni kwera hasa ni tabia ya mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya S/wanga v kupandikiza watendaji wa kata wenye vitabu feki vya mapato yanayoingia mifukoni mwao....nao watendaji...
Ndugu WanaKwela wote na wapenda maendeleo wa Rukwa na Jimbo la Kwela naombeni sapoti yenu ilikufanikisha azma yangu ya kumuondoa Malocha kwani ni kikwazo kwa maendeleo ya jimbo la kwela.
Kuna mambo amekuwa akiyaendekeza kama, kuwalinda watendaji wa kata wezi...amabao wanavitabu feki vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.