wanaomuona sitta ni muadilifu labda hawamjui vizuri wamesahau ndie aliekuwa mkurugenzi wa CDA ikafia mikononi mwake na amefanya kazi tokea serikali ya mwalimu mpaka kikwete ameifanyia nini tz cha kukumbukwa mnafiki sitta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.