Hii ajali ilitokea mei 16 2002,mwezi mmoja kabla ya ajali ya treni iliyoua wengi huko dodoma.na ni mwaka huo huo kivuko kiliua huko kilombero,ulikuwa ni mwaka wa ajali mbaya za mfululizo.hayati che nkapa aliingia na kumaliza utawala wake kwa ajali zenye vishindo
Siku nenda songea kupitia njia ya njombe halafu omba uoneshwe kona ya shabiby,ndo utajua kuwa hujui.ile ajali ilikuwa fatal,kuna makaburi ya pamoja pale pale,sikumbuki ni mwaka gani ilitokea ila imeacha alama ya kudumu
Ushuru upunguzwe kwa ma landcruiser ford ranger na magari mengine ya juu.ila kwa hivi vi passo,ist na vibugs vingine uongezwe maradufu,wanaoendesha hivi vidubwana sijui huwa wanajionaje barabarani,wanaendesha wanavyojisikia wenyewe,mpo highway mtu anaendesha speed 30kmh!!mpaka mtu unaweza...
Ubalozi wa jamaica upo kawe beach karibu na WAMA kuna mgahawa hapo wa kijamaica na huyo ni balozi wa kudumu,so huo mgahawa yeye ndo anauendesha na hapo ndipo ulipo ubalozi.utaona bendera yao ukifika hapo
BTU 12000 ni 1.25hp sawa na 0.95kw,hiyo ni cooling capacity ya AC,Tukiweka factor za efficiency tuseme input power kwa AC mpya inaweza kuwa 1.2kw,equivalent to 1.2 unit per hour.factor za ukubwa wa chumba zita determine AC iwake continously kwa muda gani.so kwa wastani AC ya ukubwa huo kwa siku...
Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini.maana msimuliaji wetu maneno anayotumia kujibizana na watu humu ni mengi kuliko hata anayotumia kuandika vipande vya story yake😃😃😃
Walichokosea hawa jamaa walijirekodi wakaonesha na sura zao kabisa,pengine hawakujua madhara yake kisheria.next time mjifunze kurekodi sura ya mgoni akisokomezwa mkurungu😂😂😂
Jenereta kubwa aina ya Perkins KVA 27 linauzwa,lipo mikocheni B bima road,limefanya kazi masaa 2746. Kwa sasa linatumika kuendeshea container za cold room, lipo katika hali nzuri, engine haijaguswa, haitoi moshi. bei ni milioni 12 maongezi yanaruhusiwa.
Contacts 0713258492 patrick, 0718141621
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.