Pia bila kusahau gpc na syscorp media hawa nao wamekua wakiwakata watu nssf zao na hawazitumi..hivi karibuni imewafukuza wafanyakazi wake bila kuwalipa mishahara yao ya miez iliyopita
sasa kama ndio hivi, mbona watakua wana filisi wa2,kwa maana wngne 2litoka mikoani, sasa kama walikua wanajua kua wana wa2 wao ya nn kuita wa2 wengi waje kwnye intrvw??au kama walikua na nia ya ku ajiri walio nao, kwann wali itangaza nje????
Jamanii hili tatizo litaisha lini??
Sasa na sisi 2liokua na uzalendo wa kuingia jeshini tokea mda mrefu ila kitabu ndo kilikua kime2bana itakuaje??? Na sasa ndo 2meshagraduate na hali ndo inakua hivyo ....is tht fare wht thy ar dng???
for sure i had no idear abt it...sasa ngoja na mm nilifuatilie hili swala...maana nahisi kuna nyongeza ya hiz siku 7,,,maana sidhan kama kuna nyongeza ya siku bila mshiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.