Kwa macho yangu nashuhudia watu watu wa pikipiki (toyo) (boda boda) hapa maeneo ya Ngulelo, Arusha wakipewa pesa, kiasi cha tsh 10,000/= tshirt na kofia za chama.
Asanteni sana wakuu. Mmetusaidia wengi. Nami nimeisambaza taarifa hii kwa kadri niwezavyo. " Piga *152*00# kuhakiki jina lako katika daftari la kudumu la wapiga kura. Waambie watu wengi uwezavyo"
Katika hotuba ya Mh. Mbowe leo tar 28 july 2015 wakati akimkaribisha Mh. Lowassa katika chama cha Chadema na Ukawa kwa ujumla ameutaja umati unaokuja katika chama hicho akiwemo mbunge wa Arumeru Magharibi Mh, Ole Medeye kama mmoja wa watu watakao kihama chama CCM na kujiunga na Chadema. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.