kweli inaonyesha silaha zikiwa nje nje mauaji yatakuwa mengi sana.
Unafikiri kaka Edwin angekuwa na bastola tungekuwa na stori gan kwenye magazeti ya Jana na leo?
je aliporudi safarin alikuwa na begi?
Aseme aliposafiri alimwacha mshkaji ndo kachinjia njiwa wake humo gheton.
NB usijepeleka magendo ghetto.....utaabika siku si zako
hapa bila kumumunya maneno haka katabia unacho ww.
1. huwa hujiamin so unapoona mtu kamtokea/ mtongoza huyo dem ndo na ww unapata nguvu ukijisemea moyoni "kumbe anaingilika"
2. hii tabia yako ukiendelea nayo yatakukuta ya kina U4 na wengine, coz kusarandia wake/ wachumba wa watu nouma
na mie nataka hapo hapo coz wadau wanasema
1. kama una kibamia tafuta mwenye tundu dogo
2. kama una muhogo tafuta mwenye kama kisima/ bwawa
je utajuaje au ni mendo wa trial and error?
mkuu we unakuwa kama mgeni hapa duniani?
we dem mara ya kwanza ndo umemwona/ anataka umtafune alafu unampandisha kosta tena akamate bomba........... papuchi utaisikia tu watu wanasimulia..............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.