WomenofSubstanc,
Ni kweli lugha yetu haitoshelezi mahitaji ya mawasiliano ya kitaalam na ndio maana hata sheria zinaandikwa Kiingereza. Lakini hata maneno guilty/not guilty nayo tabu?
Hatuwezi kusoma shitaka kwa Kiswahili sahihi, tutaweza kuandika sheria na hukumu kwa Kiingereza cha watu...
Sikonge,
Ukikubali kwamba "umeteleza" basi uchune, usimlaumu aliyesema umeteleza. Mkuki kwa Aziz, kwa wana JF?
Unasema wengine hamuweki kichwani mambo yale, well, ni wewe ndio umeyaleta yale. Ha hahahaaaa aa aaaa
Kwamba kiongozi ambae hakuiba ndio kiongozi safi hilo sidhani ni kweli. Kutokuiba, unategemewa usiibe, si sifa. Kutokuiba yabidi kuwe the least common denominator. Zaidi ya maadili, tupime viongozi kwa ufanisi, maono uzoefu, matokeo, fikra, kujitoa katika utumishi, na uchochezi chanya, na pia...
Ulimwengu wetu ule ndio majina yanabandikwa ukutani. Ulimwengu wa leo unatambua kwamba Jimmy K has no business kufuatilia matokeo ya Kuhani. Hivyo, kinachotakiwa kufanywa, ni mtahiniwa ku log into the site ya baraza la mitihani kutumia Candidate ID. No. na credentials zingine za siri, kuona...
Si kweli. Baba yake aliweka majaji wawili, na ni mmoja tu aliye msapoti kwenye kesi, Thomas. Mwenzake, Souter, alishageuka liberal kitambo kabla ya kesi. Unaweza kujaribu ku predict jaji atakavyo amua kwa kuangalia historia ya falsafa yake katika siasa za sheria, sio nani kamumeka.
Hakuna...
Wanasheria wa Bongo wanatia huruma walivyomsomea shitaka Chenge.
Chenge, kosa la kwanza unashitakiwa kwa kuendesha kizembe na kusababisha.......kweli, si kweli?
Mimi ningejibu: Kweli, nashitakiwa!
Kubandika majina ya wanafunzi ukutani, tovutini, mtini, ubaoni, ni violation of student privacy.
Badala ya Toyota Land Cruiser VX, ikinunuliwa Toyota Camry XLE moja kwa matumizi ya wizara iliyoko mjini, hela zitakazo okolewa zitanunua stempu ya kumtumia kila mwanafunzi wa Tanzania notice ya...
Si afadhali Chenge anajulikana moyo wake mkavu hana huruma, mimi hao maafande wanaojichekesha ndio hata sielewi kilicho funny kuhusu ajali ni nini yani.
Halafu hatufundishwi toka utoto kuwa ajali ni noma, usalama barabarani ni muhimu, watoto wanaachiwa waje kupiga chabo katikati ya scene of...
Basi kama unapokea na "zinatumika kuwakomboa Watanzania" kwa nini unalalamika?
Maana unawaambia wabunge wenzako na Watanzania kuwa hizohela zibakie huko, zikalipe walimu na kujenga zahanati lakini wewe mwenyewe unaziondoa huko, unapokea! Unasema unazitumia vizuri, basi endelea kupokea...
Mkuu Dr. Slaa, heshima mbele.
Naomba kujua wewe mshahara/marupurupu/posho unayosema ni too much kwa wabunge, huwa unaifanyia nini?
Umewahi kuipokea ukala?
Chenge alirudije nyumbani?
Wanamwita Chenge "Harvard Lawyer," ambaye hakujua kwamba you never leave the scene of an accident!
Akiendesha 80 to 100km/hr (up to 60 miles/hr) mitaa ya Morogoro Stores, Oysterbay, residential areas!
Hanunui insurance, tajiri mkubwa, Mbunge mtunga sheria na...
Unasema hii kesi ni rahisi kama "muendesha mashitaka kasoma sheria." Lakini kwa ulichoongea hapo nadhani ungekuwa wewe ndio mshitaki hapa nadhani Jamhuri tungeshindwa hii kesi vibaya vibaya.
Kwanza, ni wewe, sio Chenge, ambae anabidi athibitishe kwamba alikuwa amelewa au la.
Halafu umesha ibua...
Ndio hapa utaalam unapoanza kutiwa chumvi and tangawizi sasa.
Yani unatuambia akitokea drunk driver akapitiliza kwenye red au mwehu akakuchomekea ukapinduka na gari ni wewe ndio utakuwa responsible kwa sababu you should know better? How can one stop a mlevi or a mwehu?
Na hakuna mtu anaitwa...
Amelitumikia Taifa kwa kweli.
Ukitamka neno "Malecela," watu wanakumbuka utumishi na uzalendo. Lakini pia wanakumbuka "go to hell" na kibaya zaidi "uhuni" wake uliomghafirisha mlezi wake wa kisiasa. "Honor" inapungua.
Kuhusu kuwa mfano wa kuigwa kwa kustaafu nadhani Mzee Malecela amesema jana...
Wakuu Field Marshall na JMushi,
huu mjadala wa kunga'tuka umetosha sasa, aliyeuliza ni Mkulu Mwanakijiji, na akajibiwa kwa facts na kina Fundi Mchundo na Joka Kuu na wengine, japo hakukubali kiungwana kwamba ameridhika na facts hizo on the ishu, case ilipaswa kuwa closed na ku-deal na hoja...
Ahsante brother / dada Field Marshall.
Nimekusikia na nitakoma hiyo mada, japo nikueleze kifupi tu, kwamba utakuwa uliona Mkuu Mwanakijiji aliliendeleza "kombe la mbuzi" hata baada ya kushauriwa na baadhi ya wachangiaji kama vile Fundi Mchundo kwamba ameleta ubishi usio maana.
Na hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.