ndo nchi yetu hiyo ndugu, mi nko mkoani na nilishawah kuapply kaz za utumishi mara kibao za ngaz ya asst. accountant katika wilaya ninayoishi but had leo utumishi hawajaita bt cha kushangaza watu washaajiriwa pale wilayani kwa contract na wanapiga kaz kama kawa,- ss watoto wa makapuku tunasubili...
aisee hata mi nilipata shida sana kuziona, ndgu yangu mmoja akaniambia fanya hiv, nenda "Ajira.tz/new vancany 2013" then utaenda "nafasi za kazi utumishi tanzania may 2013.......
hi wadau, utumishi kwa mara ya pili tena wametoa nafasi za kazi zaidi ya 2000 tembelea website yao.kajarib bahati yako, ila daaaaa........... deadline mwezi wa sita kazini sijui lini tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.