Ukikopa pesa kutoka kwa mtu, zirudishe, hata kabla hajaomba. Na ukiwa hujazipata bado mtafute umueleze na kuomba akupe muda kidogo. Hii hukujengea heshima ya kusaidika wakati mwingine
Kuna tofauti kubwa sana kati ya marafiki na watu mnao faamiana. Rafiki unamuona nyakati zote na zaidi kipindi...
Mwanamke angalia na siku anazonuna ni zipi, kama ni tarehe zile zile najua unaelewa yupo kwenye P so unamvumilia tu.
Kama ni tabia yake ya kununa nuna bila mpangilio maalum wala sababu , we akinuna usimwambie kitu fanya mambo yako , Chelewa kurudi home kula then lala asubuhi sepa.
Usimpe...
Inategemea na siri. Unakutana na mke wa mshkaji anajiuza Lodge au kwenye mitandao ni bora kuokoa maisha ya mwana. Mwambie ukweli ila maamuzi mwachuie yeye ila usiwaambie watu wengine.
Kuna vitu pia sio kuficha siri bali inakua ni unafki. Unajua kitu ambacho ni kibaya na husemi na kinaendelea...
Hao wazazi wake manasemaga kuhusu afya zao na za mtoto wao? Wanakuambia wewe au wanaambia watu mtaani? Staki kukujaji ila naona unahali flani ya kujisikia na uongo uongo ivi.
Tunaenda mahotelini unatumia kijiko kimetumiwa na muadhirika na hata kuoshwa labda hakijaoshwa vzr, tunaenda kula sehemu...
Kiufupi mtoa mada ana maamzi ambayo amesha yachukua na sidhani kama ushauri utamsaidia maana tayari kuna vitu anaamini kuwa vipo sahihi kwa mtazamo wake.
Nachoweza kumshauri just fata what your instincts is telling you brother . Whatever the consequences you are responsible with your own decision.
Bro kwenye haya maisha usimwamini mtu yoyote itakusaidia sana. Ishi na watu wote kwa upendo na ikitokea kuna mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako mfungulie mlango tu ila kamwe usimfungulie mlango akitaka kurudi ila msamehe tu kibinadamu hata urafiki usimpe iyo chance.
Hii sio kwa wenzi...
Mkuu pole sana ila kabla ya kuacha kazi endelea kutafta kazi ukiwa hapo hapo. Ukipata kazi aga vizur ondoka . Mimi nilisha fanyiwa figisu na jamaa kwenye idara ila nikavumulia na nikatafta kazi nikapata kampuni kubwa zaidi.
Kwenye ile kampuni baada ya miez 9 nikapewa idara ya kusimamia na...
Wapo wengi tu. Mwanaume ambaye ni introvert na hapendi sana kujichanganya na hana marafiki wengi sana. Mara nyingi hupendelea kukaa pekeyao home weekend na hupenda kuwa bize na mambo yao popotw walipo.
Mtu wa hivi mnasemaga sio romantic ila ndo ivyo akisha kupenda na mkaendana huwa hawez...
Ichi ni kipindi cha kujifunza sana kuhusu watu. Kazi utapata na mambo yatakaa sawa, na yakikaa sawa just be a fucking wolf usiwe na mazoea na watu mind your business.
Juzi nilikua na shida na ela ndogo tu nikiwa safar kama 200k maana sikua na kadi karibu na sina sim banking nikawacheki washkaji...
Kuna ukweli ulojificha.
Mtu anatorokq kwa kuruka gets then anaangukia kichwa ?
- Kwani mlinzi siku zote si anakaa getini? Iweje mtu apande gets bila kusikika?
- Geti siku zote lipo upande wa mbele wa nyumba ambao pia kuna kuwa na taa na wapita njia mtu hawez chagua kurukia getini bali...
Jamaa punguza dharau. Inawezekana kwako mil 200 ni pesa ndogo sana ila jamii Forum ina waty wa vipato video pia na kuna mtu ata gar ya mili 7 inamshinda kununua mtaani. Pesa kubwa au ndogo inategemea na kipato cha mtu.
Julie tu kwanini kanisa tu wanatoa ridhaa ya nyimbo kurekodiwa kanisani? Kama kwenye nyimbo ya zungu wapo kanisani au church heathen ya shaggy na mavazi wanawapq wasanii. Tatizo linaanzia kwa viongoz wa dining.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.