0736 66 55 33 (WhattsApp); 022 550 7910 (Calls from any network); adcp@heslb.go.tz. mawasiliano yao walio andika kwenye website haya lakini piga uoone utaacho kutana nachoo si whatsapp si regular call
yani watu wanafanya kazi kisela sanaa yani era hii mpaka uende kule ofisini kwao yani website yaoo kimeo sanaa kila nikitaka kuangalia salio inagoma kuingia hata ukireset inagoma mambo y ajabu sanaa hizi habari za kwenda mpaka tazara what if nikiwa nafanya kazi ruvuma siwezi pata huduma...
Wilaya kinondoni
Eneo kawe mlalakuwa,karibu na golf course ya JWTZ
Namba ya simu 0699784611
Namba ya mita
Tatizo tunapata tatzo la under voltage mara kwa mara na nilishareport tanesco na technician wakaja warecommend phase balance ya nyumba lkn still bado tatizo lipooo halishii bado nna...
hata canada walizasha ngano nyingi sana historia inasema na Europe nayo ikazalklsha kwa wingi heeeee kushtuka ngano iki nyingi wakaaamua kuimwaga baaarini ili kutengeneza scarcity
hiii sio appp ni website mojaaaa nzuriii sana na mm naitimia jabla sijaanza kubettt inaitwa www.soccervista.com
pia kuna hiii nyingine hapa ukionisha vizuri mbona mkeka unatoboa
www.vitibet.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.