Hauko pekeako mkuu hata mimi naupenda mno huo mchezo wa kunyonya chini na sitegemei kuacha, labda ni kutokana na raha inayopatikana. Pia sijawahi kuona mtu aliye athirika kwa mchezo huo zaidi ya udaku tu wa mitandaoni
kweli wewe akili zako fupi kama jina lako. kwani hujui kuwa huyo jenerali amekataa ofa ya raisi kwenda kusoma nje ya nchi akisema huu ni wakati wa uchaguzi taifa linahitaji ulinzi wa hali ya juu hivyo yeye hawezi kwenda kipindi hiki. then akasema "matokeo yoyote yatakayo patikana sisi...
NIMEJIFUNZA kitu kupitia post hii na comment zake. nilijiuliza kwann wanausupport swala hili ni chadema na wanaopinga ni ccm. hili si jambo la kushabikia kuna siri nzito hapa, hii nchi si ya amani kama tunavyodhani. GENERALI AMEPEWA SUMU KWELI ILI CHADEMA WAKOSE MTETEZI KATIKA MATOKEO YA KUIBIWA...
Aisee Nilikuwa Naperuzi Jf Huku Namsikiliza Mzee Yusuf Kwa Mbaaali, Lakin Nilipokumbana Na Huu Uzi Nikazima Redio Na Kuanza Kuipiti Hii Mipasho Kwa Umakini. Kweli Jf Imebadilika
Hii elimu yetu sasa inaelekea pabaya. nina mchumba wangu baada ya kumaliza form four nikampeleka chua akasomea Community Development, cha ajabu tangu amalize masomo sasa ni mwaka wa 2 tumetafuta kazi hadi tumechoka. anaejua lolote anisaidie pliz
0785795889
Voda kuna tatizo kidogo katika huduma ya m-pesa ila mafundi wetu wanaendelea kuhakikisha tatizo linaisha mapema iwezekanavyo. samahani kwa usumbufu...Kwa maelezo zaidi piga 100 huduma kwa wateja
Nimewahi Kuona Habari Hizo Katika Website Moja Ya UK Yaitwa spr Kama Sijakosea. Hiyo Organisation Imeanzishwa Tangu Mwaka 82, Inawezekana Hata Mafreemason Ndio Nguvu Wanazotumia Ila Wanachokosea Ni Kupingana Na Mungu.
Lazima afya ya mke na mume iwe safi. Hesabu siku 13,14 na 15 tangu alipoanza kubleed, ukimuona na dalili zozote za tofaut kama kuumwa kichwa, homa, joto kuongezeka. Ujue ndio kipind cha ovulation kwahiyo ndani ya siku hizo ukisex inshallah mtoto atapatkana
Aaaa kaka sio kweli sana. Mi permanent wangu ni wa kichaga.
Siku hio alianza hizo stori nikajua anapenda,
ile kumuomba tu...."Usiniletee habari zako za kipemba hapa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.