MAANA YA COMPUTER KWA KISWAHILI FASAHA HUITWA KING`AMUZI AU JARIBU KUANGALIA KATIKA KAMUSI YA KISWAHILI 2004 UTAONA MAANA IYO MBALI NA WALE WANAOTUMIA "TARAKIRISHI " kama unavyofahamu lugha hukua mfano matwana hapo zamani kwa sasa ni gari/motokaa
MI NAONA NISAWA COZ UNAJUA KWA MWEZI NI KIASI GANI KUTUMIA INTERNET NA INATEGEMEA NA KAMPUNI YA SIMU WALIYOJIUNGA NAYO.
labda katka matumizi hayo mengine na kama watakula ni kiasi kidogo sana
pole kwa yaliyokukuta huyo mwanamke kwa kifupi hyakufai but kama anataka hivyo lazima kuna wenzake wanamshauri afanye hivyo
Jaribu kukaa nae na umuulize hizo fedha anazozitaka sasa hivi umuongezee anafanyia nini?
Na wewe pia jaribu kufuatilia au kufahamu kama kuna watu wameongezeka katika...
pole kwa yaliyokukuta huyo mwanamke kwa kifupi hyakufai but kama anataka hivyo lazima kuna wenzake wanamshauri afanye hivyo
Jaribu kukaa nae na umuulize hizo fedha anazozitaka sasa hivi umuongezee anafanyia nini?
Na wewe pia jaribu kufuatilia au kufahamu kama kuna watu wameongezeka katika...
Napenda kufahamu Gavana balali na mafisadi wenzake mnampango nao gani? mpaka sasa hivi sababu tunaona wahusika hawapo na viongozi mnakaa kimya au ile ilikuwa ni mikwala tunaomba mlifanyie kazi swala hili
Nadani mnafahamu jiinsi tulivyooumia mpaka sasa au sababu fedha hizo zimeanza kurudishwa
Kuna Baadi Ya Watu Utakuta Unamwambia Kuwa Usifanye Jambo Fulani Lakini Wanakuwa Wabishi Vibaya Sana
Mfano Mzuri Ni Katka Internet, Mtu Anaweza Akakueleza Muda Wako Umeisha But Mtu Unae Mwambia Anabaki Anakushangaa Tuu Au Atakwambia Anmalizia Sasa Kasheshe Inakuja Usijaribu Kumruhusu...
utakuta baadhi ya wafanya biashara za madini wanawapatia vijana wetu fedha za kujikimu na kuishia kuwapa offer za pombe badaala ya kuwasaidia ili waweze kutimiza malengo
Na wengine kufanya biashara zao bila hata kusaidia jamii utakuta mtu anafanya biashara katika kijiji flani lakini faida...
Watu wengi sana hasa wachimba madini wananisikitisha sana kuona walikuwa wana taabika lakini baada ya muda baadhi yao huwa wanafanikiwa na inapofikia malengo yao huishia kunywa pombe, wengine kufanya uhuni hasa ngono ambayo ni zembe na kuishia kupata magonjwa ya ukimwi na wengine kuishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.