Timu ya Taifa ya Tanzania Beach Soccer imeichapa timu ya Taifa Kenya mabao 7-6 katika mchezo uliofanyika jioni ya leo Klabu ya Escape One Msasani Dar Es salaam.
Kwa kuitoa Kenya sasa Tanzania itacheza na Misri kati ya Machi 7, 8 na kurudiana kati ya Machi 13,14, mshindi atakwenda moja moja...
Profesa Ludigo ni miongoni mwa watayarishaji wazuri wa muziki wa Hip Hop na Bongo Fleva hapa nchini Tanzania, kazi nyingi nyingi za wasanii mwishoni mwa miaka ya 90 zilikua na mikono yake!
Aliganya kazi na P-Funk Majani ndani ya Bongo Record na Master Jay katika studio za Mj Records.
Asilimia...
Y Thang alikuwa Kwanza Unit na sasa ni daktari, Solo Thang baada ya jamaa kwnda uk kusoma akaamua kutumia stylr yke dats y fid q akasema Y Thang ghafla akageuka Solo .
Kwa hyo sio a.k.a bali ni watu wawili tofauti
Uongozi wa klabu ya Young Africans umekanusha taarufa zilizozagaa leo mchana kwamba wapo kwenye maongezi na aliyekua kocha mkuu wa Azam FC Stewart Hall aje kuifundisha timu ya Yanga.
Taarifa hizo is za kweli ni propaganda za baadhi ya watu wanaotaka kuona Yanga inavurugika na kufanya vibaya...
Baadhi ya kanda zilizohesabu hadi sasa ni
Dsm - Kidau,
Moro/ pwani - Kaburu,
Tanga / Klmjaro - Khalid, Lindi / Mtwara - Kambi,
Tabora/ Kigoma - Mgoyi,
Mbeya / Iringa - Nyenzi,
Njombe / Ruvuma - Mhagama,
Rukwa / Katavi - Kiondo
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Rahma, Radhia na Radhina
Walianza kuimba Rahma & Radhia na kaka yao Ibra wakiwa pamoja na kundi la G'z Mobb lililokuwa na msanii Gerad Siri a.k.a G-Solo.
Nyimbo yao kwanza kuitoa ni Tucheke na tucheze tufurahi 1996.
Video yake ilifanyika CBE dodoma, Area C' eneo la wajenzi...
Mlinzi wa kati timu ya Yanga Kelvin Yondani ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mpira wa miguu nchini kwa msimu wa 2012/13 na kiasi cha pesa mil 5 katika sherehe iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Double Tree.
Kipre Tchetche ameibuka na tuzo ya mfungaji bora kwa msimu na kiasi cha mil 5...
Millard alikua anatoa taarifa za uongo pasipo kushuhudia, kukaa kwake kote Joberg alibahatika kuonana na M 2da P mara moja tu, kisha baada ya hapo akawa anaulizia story kwa mwenyeji wke juu ya hali halisi ya M 2da P na matayarisho ya kusafirisha mwili wa marehemu Mangwair, kisha anasema...
Kwani Hujui kama mama yake mzazi Naomi Kaihula aliyekua lecture CBE, na mwalimu Tambaza ni mbuge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuipitia chama cha CHADEMA
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ama kweli wewe wakutumwa, Mwana FA angeanza kumkumbuka aliyemsaidia na kumfanya ajulikane kwenye sanaa ya music King Crazy GK, produce Bonny Lv, kifupi kama kutoa ni msaada ni matangazo FA ni mshamba,, Jide alitoa coaster ya Machozi Band ikabeba watu kwenda Morogoro kuzika na kuwarudisha na bado...
Acha propaganda!
Mradi wa ujenzi wa uwanja wa Taifa wa mpya ulikua uambatane na kituo cha michezo mbali mbali, ambapo katika awamu ya kwanza ilikua ni ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu ambao umekamilika na awamu ya pili ilikua ni ujenzi wa viwanja vingine vya michezo kama indoor ya basketball...
Wanaomtetea Ruge wamezaliwa miaka ya 2000's na kuendelea, Jide alikuwepo kabla ya hata ya hiyo redio ya wafu, ameimba na kina marehemu Zomba (D-Rob), Fanani wa Hardblasters, Afro Reign kipindi hicho Radio One pekee ndo ilikua inabamba chini ya madj wa ukweli Rankeem Ramdhani, Mike Mhagama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.