Ismail Jussa Ladhu, the member of the Zanzibar House of Representatives for Stone Town, resigned from his post of deputy secretary general of the Civic United Front (CUF, opposition) on 5 October so he could take advantage of the separatist wave going through the Tanzanian islands...
Nimesikitika kwa mawili Sumaye kushindwa na mama Nagu anayesemekana amezaa naye mtoto wao wa mwisho
Pili hapa kulikuwa na mkpno wa wazeee na hela imemwagwa kuhakikisha Sumaye hakatizi na tukiangalia kwa ubora in tterms of leadership Nagu haaingii kwa Sumaye hata robo lakini kwa chama kiki...
MALASUSA AKATAZA IBADA ZA KUSIFU NA KUABUDU
Wakuu,naomba hii ipostiwe kama separate thread nimeshindwa post
kwa masikitiko makubwa mkuu wa KKKT amekataza ibada za kusifu na kuabudu kuwa huo sio utaratibu wa KKKT na kanisa halitamvumilia mchungaji yoyote atakayekwenda kinyume na utaratibu...
Barklays kufukuza wafanyakazi
jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi...
Mkuu nenda Goshen Bunju A pale shule ya Mpare mmoja anaitwa Mrutu its a good School na wana magari ya kubeba watoto ukifika Bunju kama watoka town ingia kushoto barabara ya vumbi you will get to the school
Slidingroof
Sijaona ulichokiandika, wacha kusikia, wewe huna tofauti na Tambwe hiza au ni miongoni mwao mbona wamsemea mtu?? Je upadri umetoka wapi au nawewe ni mdini, mbona hukuanza na ushehe wa kikwete?
U sem to be junior in analysing issues critically, bring pints and not useles...
chadema mnatusumbua sana polisi silaa ni noma yaani maisha yetu ni magumu sana tunafukuzwa kwenye nyumba kisa kupiga na kuwaua Arusha tusameheni jamani tulilazimishwa na serikali kuwaua ila sis wenyewe tunakubali chadema noma slaa toa tamko wananchi tumeomba smsamaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.