Search results

  1. K

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    mi ndugu yangu nakuongezea linanofurahisha sana wanasiasa wetu wanaposema rushwa haramu rushwa haifai hivi wanajiona kwenye tv na magazeti pale wanapochukuwa wao wanakuwa watu wengine au temp wanajigeuza @~:@~:@
  2. K

    Tibaijuka atoa masharti mazito

    nadhubutu kusema unafik wewe na mzuri rais wako watu wake wanamtumia kudhulumu ardhi za watu
  3. K

    Kauli ya Dr Nchimbi ni sahihi? Ni kweli polisi hawatakiwi kuingilia mikutano ya kampeni za uchaguzi?

    HAKUNA MAJADILIANO KABISAAA WAZIRI NA IGP WAJIUZURU %&^£$*&(:rant:HALAFU TUONGELEE MENGINE JK COME ON KANUMBA MBIO Mbio mpaka kitoto cha watu kinasota jela bila ya sababu, haya nimauaji haa tamko wala waziri wako na igp wao kujiuzuru pls hata ibada zak hazifai njoo bar tulewe tu
  4. K

    Naam, Lowassa si Waziri Mkuu, Rostam sio active politician sasa, Je matatizo yenu yameisha?

    We baki nahizo asilimia 90 barick washamaliza wanaondoka na mengi tu
  5. K

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    NAKUUNGA MKONO IGP NA WAZIRI WAKE WONDOKE NDANI YA MASAA 12 HAMNA KISINGIZIO :spy:
  6. K

    Tafakuri ya Mzee Regnald Mengi Kuhusu VodaCom, $450 000,na Mbwa-mwitu.

    jk unachezewa mchezo na jamaa zako wa zaman ndani ya hilo chama lako wake up hao wanaokuchukia ndio wenye maslahi ya kibiashara na voda wamekupelekesha kwenye hio bila ya kujijua I HATE MUCHUZI BLOG coz never tell or show mr.p the reality kama humu ndani
  7. K

    Mohamed Enterprises wins Libyan debt swap appeal

    membe alikuwa dalali tu wa hiko kiwanda wenyee wengine
  8. K

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    Nimewachukia polisi kishnzi lakini hii inatokana na viongozi ndani ya ccm hawa polisi wanatumiwa kundi fulani la wanafiki hata ukisikilza habari zao utawajua na kuanzia leo siifungui tena blog ya michuzi ni ya kinafik kwa sababu jk na wapambe wake ndio blog wanayoiangalia hii habari haipo
  9. K

    Tanesco msituchezee akili -- maboresho yenu ya LUKU yamekwama!

    Tumechoka walopitisha hizo dill n kutuachia uchafu wao wanakula kuku kwa mrija namaluku yao ya dezo kibao eeh mwenyezi mungu nipe nchi hii kuiongoza kwa miezi sita tu
  10. K

    Rais Kikwete yuko mapumzikoni Serengeti

    lol memsema sana rais wangu kutangaza nchi nyingine sasa anatangaza bongo pia mnamsakama mzee hamia hollywood ukimaliza muda wako
  11. K

    Mohamed Enterprises wins Libyan debt swap appeal

    ina maana tiot wamepigwa chini na huyo gadafi mwenyewe kishakufa hii ni dili tu
  12. K

    jk na mizengo pinda mmetuulia dar es salaam

    jk na mh.pinda turudushieni mamlaka ya dar es salaam kwa meya moja tu awe na sauti na mji wake huu uozo mlotuwekea kuwa namameya wengi hauna na hautakuwa na tiba kwa jiji hili hii ni njia kuongeza matatizo tunayoyaona sassa mji moja mameya sita kuna mkuu wa mkoa mkurugenzi nae ana sauti waziri...
  13. K

    Naitafuta gari yangu

    any news ndugu zangu
  14. K

    Naitafuta gari yangu

    if ur not a great thinker try to be one
  15. K

    Naitafuta gari yangu

    nimesema hivi ndio ilivyo inavoonekana
  16. K

    Naitafuta gari yangu

    kuna mtu humu ndani kandika kaiona kwa macheni naenda kuingalia naitafuta kama iko pale
  17. K

    Naitafuta gari yangu

    inside job labda kama bima na siwezi kufanya upuuzi huo na 4ur short information bima yangu ilikwisha
  18. K

    Naitafuta gari yangu

    maelezo ya gari yanatosha na namba ya gari wazee
  19. K

    Naitafuta gari yangu

    iko kwa macheni mwenyewe manaake nafahamiana nae
  20. K

    Naitafuta gari yangu

    hio ndio ilivyo ina tintid nyeusi kabisa
Back
Top Bottom