Napenda sana nyuzi za haya masuala maana nimeanza kujifunza taratibu, hivyo naomba unipe muongozo ili kufikia web developer au app developer ni vitu gani vya kuanza kujifunza kwa mtiririko mzuri. Asante
Watumishi hawajaongezewa mishahara kwa sababu bandari kwa sasa haizalishi chochote, wasubiri uwekezaji ufanyike watapewa zaidi ya walichotakiwa kupata sasa. Asante
Habari wanajukwaa, napenda kuuliza
Hivi nje na kuwa mwalimu kazi gani mtu anaweza ifanya kwa kusoma degree hiyo.
Mchango wako wa mawazo ni muhimu sana [emoji120][emoji120]
Gharama za maisha katika nchi yetu ni himilivu sana ukilinganisha na mataifa makubwa kama Marekani, Ujerumani, Uingereza, Canada na Japan.
Fanya tafiti katika mataifa hayo naamini utarudi hapa kukiri haya nisemayo. Sisi kwa hatua tunayokwenda nayo hatuwezi jilinganisha na mataifa yenye uchumi...
Watu waseme tu viongozi wa aina hiyo wajifunze, nchi hiyo ni watanzania wote bila kujali dini wala kabila ila tulikokuwa tunakwenda taifa hili lilikuwa linakwenda kugawanyika sana. Acha tu MUNGU aitwe MUNGU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.