Kibanda aliyeandika haya sio huyu tunayemjua sasa. Ameshakuwa Wakala wa wale wanaotaka kuona Tanzania haisongi mbele sababu ya kushabikia matumbo yao. Unless sasa anatuambia kwamba hiki alichokiandika awali alikiandika kiushabiki ama alishanunuliwa na viongozi wa CHADEMA kipindi hicho. Kwani...
Tunaheshimu maamuzi ya mahakama maana sheria na haki ni vitu viwili tofauti. Kama ilikuwa ni haki ya Mahanga kushinda basi itabaki hivyo ila kama hakushinda kwa haki basi tusubiri ya Arumeru Mashariki..... sijamaanisha kwamba atakufa bali haki itapatikana hata kama ni nje ya mahakama.
Nadhani Zitto alitoa ufafanuzi mzuri na tulio wengi tunakubaliana nao kwamba Pinda hana tatizo ila mawaziri waliotajwa wakiongozwa na waziri wa fedha ndio cancer ya nchi hii. Kwa vile bunge halina mamlaka dhidi ya mawaziri wengine wote ambao ni wateule wa rais akiwemo rais mwenye basi...
Wanajamii hivi kuna mtu mwenye rekodi ya matokeo ya uchaguzi jimbo la Arusha mwaka 2010? kama ipo niaomba ili tufanye tathmini ya uchaguzi mdogo ujao ikiwezekana tufanye projection pia... Wakati wao wanawaza wamsimamishe nani sisi tunafanya tathmini tutashinda kwa kiwango gani. Hatua 2,000 mbel...
Acha masihala bwana, ni ya kweli hayo? kuna mahali nilisoma wengine wanadai alikuwa Houseboy wa John Komba. Hizi kashfa zote amezichokonoa mwenyewe sasa zinamgharimu maana watu sasa wanashauku ya kufahamu wandani wake.
Sasa kwa kiwango hicho cha elimu kweli anaweza kuwa mwakilishi wa wananchi wa Mtera bungeni na kushiliki kikamilifu kutunga sheria zitakazoliongoza taifa hili? Si ajabu siku za hivi karibuni kumeibuka mtindo wa ya zomea zomea toka kwa wanabunge wavivu wa kufikiri maana wengi wao wanapata shida...
Nadhani wengi wetu tumefuatilia kwa ukaribu sana kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru Mashariki, na tumesikia mengi lakini kubwa lililobeba vichwa cha habari vingi ni suala la Mhe. Livingstone Lusinde kushusha matusi jukwaani. Ni jambo ambalo halikutegemewa kufanywa na mtu mwenye hadhi...
Mimi nimechelewa kula daku maana nipo kwenye Kwaresma.... Mungu atanisamehe maana anajua nafanya jambo la haki kufurahia huru dhidi siasa za mabavu zisizo na tija kwa Wana Arumeru Mashariki na Watanzania kwa ujumla! Mungu Ibariki Tanzania, Mungu bariki Mabadiliko!
Kwani NEC wanakazi gani ya zaidi ya kusimamia uchaguzi ndugu yangu? au ulidhani wako pale kupanga matokeo? Kama walikuwa wakipanga matokeo basi ni huko nyuma sasa hv hawawezi kushindana na Technology wataumbuka.... Ila pole najua hupendi kusikia haya matokeo.
Dr. Slaa nae amethibitisha kupitia Twitter kwamba CDM inaongoza kwa kura Arumeru, so to mean CDM is the overall winner though he used technical political term! We are leading.....
Wewe nani kakwambia waliopiga kura jana jumla yao ilifika laki moja na ushee... ile ni idadi ya waliojiandikisha sio waliopiga kura kaka. Kuwa makini kidogo.
Mimi ningeiita hivi ''Watanzania na Nyota Iliyofifia Kizani''. Maana huyu bwana alianza kwa kushine kweli na matarajio ya watanzania wengi (Isipokuwa Mimi) walidhani kwamba mwisho wa mateso yao umefika. Yaani alionekana kama Mussa kwa wanaisraeli waliokuwa utumwani Misri.
Nachelea kuamini kama kweli serikali imetoa kauli kama hiyo kupitia PM. Ila kama ni kweli basi mwanzo wa mwisho wa utawala huu unabisha hodi. Hakuna serikali inayopata mamlaka kutoka mbinguni bali kwa wananchi, sasa usipowasikiliza wenye serikali yao (wananchi) nini wanataka utamsikiliza nani na...
Nashukuru umejitoeza mwenyewe na kujaribu kujibu michango yote iliyotolewa. Wwengine tulikuwa kuchangia kuhusu hoja yako lakini tukakuta wengine wameshachangia pia. Ila ushauri wangu wa ziada tofauti na hoja hii ya bajeti ni kwamba ebu jaribu kutumia busara na kuwa mvumilivu kuliko kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.