Malawi now turns to British lawyers
Send to a friend
Saturday, 27 October 2012 09:45
By The Citizen Reporters
Lilongwe/Dar es Salaam. Malawi is now banking on British legal expertise to ensure it wins the border row with Tanzania over the...
atakua ni mmalawi kaleta huu uzi hajui hata kuchora, wameshaona mambo yamekua magumu ,hivi kweli duniani kuna nchi gani mpaka upo pembezoni mwa ziwa? aisee ziwa hatuachii kabisaa
dhambi ya kuchoma makanisa itawafuata na kuwatesa siku zote,hakuna haja ya kupaka asali uhalifu wakati uhalisia unaonekakana kwa hiyo wahuni wanavaa kanzu ?
inabidi watu kubadilika.mashamba wameuza wenyewe then sasa ndo wanaamka usingizini serikali lazima iwajibike kumlinda huyu mwekezaji wa ndani kama inavyowalinda wawekezaji wa nje , Huu ni uonevu kabisaa wakamatwe waliohusika
anachokisema sio chuki ni hali halisi ki ukweli tuchukulie wewe ni kijana unapikipiki T ... CCM unataka kuiuza alafu upo maeneo ambayo jamaa hawakubalikiki unategemea nini zaidi ya kuiuza kama spear na what if ni T... CDM Ipo sehemu ambayo nayo haikubaliki the same thing will happen mtoa mada...
najivunia kuwa mtanzania and i thank God for being here in Tz ,wenzetu wanafikiri kuongea kiingereza ndo kuelimika,shida tupu zimewajaa,kweli njaa haigopi baunsa hiyo ndo kiboko yao,hatua waliofikia dharau imezidi serikali iende kulinda mpaka wetu katikati ya ziwa,waachane na mazungumzo hayana...
Basis ya 1890 ni kulinda colonial interest,vizazi vyetu vilikuwepo kabla hata ya 1890 , 1890 it wasn't between tz and malawi. Tatizo baadhi wamalawi pamoja na baadhi ya wachangiaji ambao ni mamluki humu wapo so reactive ,hakuna nchi duniani mipaka ipo pembezoni mwa ziwa ,natambua ziwa nyasa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.