Utasusutwa mtoto wa kiumeni aliyekufa ni mfanyakazi wake alikuwa anapeleka pesa benk.mmezidi majungu na umbea some of men here.hamna kazi?pu..vu utatangulia wewe kabla yake
Halafu soma elewa ndo uandike nani kalamu jf/nitahadharisha watu we unaongea kulaumu?kumbe aliyekuvisha pete umemtoa humu?bora huyo dadangu aliyetapeliwa pesa si inatafutwa tu?utakachotapeliwa wewe ndo utajua kutapeliwa hakuna mwenyewe
Jamni alichoandika huyu jamaa ni cha kweli mwaka janaa mwezi wa sita dada yangu alitapeliwa na kijana aliyemkuta humu sh milioni mbili bahati nzuri to cut it short jamaa alijitia nafanya kazi tume ya mipango viwanja vinatolewa sister ampe pesa akampa 2m mnajua tena watoto wa kike sasa sisiter...
Hi habari kule gadget ililetwa month ago nafikiri na chief-mkwawa nashengaa mletaji umeandika eti kama imetokea juzi halafu Samsang hawajawahi kuwa na trial na apple its better you sticky on traditional medicine news kwa ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.