Mkuu Sebastian Machele! Aliyekuwa mwalimu. Kama ndo huyo basi alinifundisha shule ya msingi Gallu miaka hiyo. Daah! Humu nasoma mpaka nywele zinasisimka. Nyumbani kuzuri jamani!!
Asante sana mkuu kwa hili. Kwa kuongezea tu tabia za wafanyakazi katika ofisi fulani zina akisi tabia ya kiongozi wa sehemu hiyo maana isingekuwa hivyo, sheria, taratibu na kanuni za utumishi ofisi husika zinaeleza bayana nini kifanyike kwa mtumishi asiyetimiza wajibu wake. Kiongozi kama yeye...
Maelezo ya hawa Wazungu yana ukakasi na si kidogo. Wanasema walinunua mfupa ya twiga Afrika Kusini na kuambiwa hakuna shida kuingia nao nchi nyingine. Siku ya kuondoka Tanzania wakakamatwa nao na kushitakiwa kwa kosa la kuua twiga. Walilipa $ 62,000 za "fine", ada ya mahakama na kutoa rushwa...
Yaani wakati anaporomosha matusi hayo Rais wa nchi hiyo ana vinasaba vya weusi. Ama kweli kuna viumbe hawawezi kufikiria nje ya "box". Wao Marekani ndo mwanzo na mwisho. Kwa ubaguzi na chuki za viumbe kama hawa, tusitarajie dunia ikawa salama.
Daaah! Sipati picha kwa kweli. Huyu Kangi Lugola aliwahi kuchimba mkwara bungeni na kutaka kuvaa kininja ili asiwaonee aibu watu, nikajua bonge la mzalendo kumbe mbwembwe tu. Hii ni aibu sana kwa wawakilishi wa wananchi kushitakiwa kwa makosa kama haya. Acha waisome namba sasa.
Hawa jamaa pamoja na nafuu wanayoipata kupitia kodi zetu bado wanafanya ukatili huu kwa watoto wasioweza kujitetea!!! Kweli mshahara wa punda ni mateke na hawa walinzi wetu wa nchi wamegeuka punda. Mungu baba wafanyie wepesi wafiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.