Naomba mnisaidie nimejaribu kuwapigia cm zao za mezani hawapokei kwenye website yao wamesema mwisho kulipa ada na michango ni tarehe 30 nikilipa kwa sasa watanigomea
Msaada wenu tafadhari kuhusu hapo udom kuna jamaa angu alikuwa ana principle moja SSD kawa adimitted udom software eng. Anahofia kwenye registration wanaweza mzingua but ni ameandikiwa adimitted
naomba unishauri juu ya hili nimepangiwa UDOM software engineering lakini pia niliomba diploma ya electrical eng. DIT nimepata sijajua soko la ajira kwa software engineering liko vipi naomba ushauri wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.