Search results

  1. D

    Kwa wale wa udom mwenye kujua hili naomba msaada

    Nashukuruni kwa ushauri wenu nimewaelewa vizuri
  2. D

    Kwa wale wa udom mwenye kujua hili naomba msaada

    Naomba mnisaidie nimejaribu kuwapigia cm zao za mezani hawapokei kwenye website yao wamesema mwisho kulipa ada na michango ni tarehe 30 nikilipa kwa sasa watanigomea
  3. D

    Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    Hapo kwa ushauri wako mkuu maana niliomba na diploma ya umeme nikasome tu hiyo diploma au nakakomae nayo hiyo business informaxn system
  4. D

    Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    sijakuelewa vizuri hapo kiongozi naombba nieleweshe vizuri kwamba kwa Tz haina dili au ni vipi nielekeze vizuri maana unayomaanisha
  5. D

    Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    nimekuelewa homy itabidi nikakazane nashukuru sana kwa ushauri wako
  6. D

    Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    mkuu napenda kujua kazi zake ni zipi?
  7. D

    Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    nimekuelewa mkuu maana niliomba na diploma ya umeme but nashukuru kwa ushauri ntaenda soma
  8. D

    Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    Naombeni msaaada wana jamvi tafadaharini nimechaguliwa hii course pale udom kuhusu upatikanaji wa ajira uko vipi na inahusu nini hasa,
  9. D

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Msaada wenu tafadhari kuhusu hapo udom kuna jamaa angu alikuwa ana principle moja SSD kawa adimitted udom software eng. Anahofia kwenye registration wanaweza mzingua but ni ameandikiwa adimitted
  10. D

    naomba usauri wako.....plz

    Ahsanteni sana kwa ushauri wenu nimewaelewa vizuri ntaenda dit sababu napenda umeme na baba amesema hata nikienda dit atanilipia thanx guyz
  11. D

    naomba usauri wako.....plz

    naomba unishauri juu ya hili nimepangiwa UDOM software engineering lakini pia niliomba diploma ya electrical eng. DIT nimepata sijajua soko la ajira kwa software engineering liko vipi naomba ushauri wenu...
Back
Top Bottom