Mimi Jana Nimeangalia Ilipofika saa 3na dakika kazaa Azam wakaizima baadae naangalia kwenye mitandao kumbe wamepigwa marufuku kuonyeshwa inamman Azam walikuwa wamechelewa kuiondoa
Labda Ndugu yetu Mfumo wa Malipo TRA huujuwi Vizuri, ukiwa unafanya malipo kuna wengine wanaenda TRA anaomba control, wanamtengenezea na kumwekea bank atakayo kwenda kulipia, hapa sasa inategemea TRA kakchagulia Bank gani, hii ndiyo system wengi wanayo tumia. Wengine wamekuwa registered na TRA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.