Pole sana,umesoma nini na umefaulu kwa kiasi gani na uwezo wako ni upi?umefikiria kufanya kazi ingine zaidi ya ulichosomea?kama una imani umefanya maombi maalumu kupata kazi?unaweza kuendelea na degree ya plili kama una uwezo huku unaendelea kutafuta
swali la kizushi Eiyer naona story zako nyingi ,nilikuwa kijiweni ,nilienda kumtembelea rafikinilimsindikiza hivi mwaume mwenye kazi serious anapata wapi huu muda?
Absolutely!!!you have kick it man .yani hata me huwa nawapa kubwa ofisini kwa kuwaeleza ni bora me achelor nimetulia kuliko wao wana ndoa lakini wana mahawara kila kona.ukweli mostly wanaolewa/oa kwa presure za jamii
baba mbona mapovu yamekutoka na kashfa juu,hata unngesema lolote baya juu yangu kama silifanyi haliniumizi kichwa wala halitahalalisha mimi kuwa harlot ,nilimwacha and am no longer interested kwa kifupi mwache uchafu.kwani mnaposemaga wanawake kila kukicha humu mmelala nao wote?mgd understood.avoir
tena kwa taarifa ni watu wamaana ambao ukimwangalia mara mbili unajiuliza is this true?barabarani?!hivi wapi wanatakiwa kukutana na kuanzisha uhusiano?
we ndo unatakiwa kulazwa mwaisela eti hakuna mwanaume mkojo utamguj?!you are kidding guy.kwanza mmezoea kurudia chupi me nilimpiga jamaa chini kwa ajili ya mikojo nilishika chupi kunusa karibu nitabike hlf mtu anakwambiaa ushike mick mmezidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.