Search results

  1. Chris Lukosi

    LEMA: Ni wakati gani Rais alipaswa kuchukua hatua?

    Heri ya Mlevi kuliko mbakaji Inasikitisha kuona wananchi wa Arusha wanaongozwa na mtu mwenye tuhuma za ubakaji na wizi wa magari
  2. Chris Lukosi

    USA baby vs Uingereza baby!

    Niko hapa Watu mmepinda sana teh teh...
  3. Chris Lukosi

    Watanzania waishio UK wampongeza Balozi Migiro na kumkaribisha Waziri Mkuu

    Hahahaha, asante mkuu kwa kunisaidia kuwajibu
  4. Chris Lukosi

    Watanzania waishio UK wampongeza Balozi Migiro na kumkaribisha Waziri Mkuu

    Jumuia ya Watanzania waishio UK iliyo chini ya kamapati ya mpito inayoongozwa na Eng Dr Hingira wanapenda kutoa pongezi kwa Balozi Dr Asha Rose Migiro kwa kuchaguliwa kua Balozi wa Tanzania UK. Pia Watanzania hao waishio UK wanamkaribisha Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika ziara yake...
  5. Chris Lukosi

    Mbowe akosoa Maagizo ya kamatakamata ya Magufuli

    Anakosoa yeye kama nani?
  6. Chris Lukosi

    Mapastor wa Africa waungana na Mapastor wa Tanzania kumuombea Rais Magufuli London

    Baada ya kufurahishwa na kasi yake na uchungu aliouonyesha kwa nchi yake, Mapastor mbali mbali wa Kiafrica walioko London wameamua kuungana na wale wa Kitanzania kufanya misa maalum kumuombea Mheshimwa Rais John Pombe Magufuli kwa Mwenyezi Mungu Nyote mnakaribishwa
  7. Chris Lukosi

    Mgombea urais chama cha Republican 2016 Marekani asema ana asili ya Tanzania

    Kama kweli, basi lazima tuwe proud Jamaa ni genius
  8. Chris Lukosi

    Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM!

    Pasco jaribu kuwa na nidhamu, matusi ya nini? Na waliosusa CCM na kuhamia chadema tuseme wana tabia gani?
  9. Chris Lukosi

    Serikali mnaliona hili, au mnasubili watu wafe?

    Inasikitisha sana Hilo gari lilitakiwa libebwe kwenye low loader na kua safe secured Kuna siku mwezi january mwaka huu ilinibidi nitumie my powers of arrest kukamata dereva mmoja mandela road nikawaita polisi wamchukue baada ya kuona anaendesha truck kama hilo kabeba yale ma roller makubwa ya...
  10. Chris Lukosi

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Kwa hali ilivyo sasa wala sitaki hata kuitwa EX COP, maisha yangu kwanza...
  11. Chris Lukosi

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Namshukuru Mungu niliacha hii kazi mapema kabla haijawa mbaya kiasi hiki.... R.I P marehemu Ni wakati sasa jeshi la polisi lifanye operesheni maalumu kukamata silaha nchi nzima Ikiwezekana kura za staili ya Mrema zirudishwe majambazi yaumbulie na yakamatwe. Majambazi tuko nao uraiani humu...
  12. Chris Lukosi

    Wasomi wanena: Kuchaguliwa kwa Magufuli ni pigo kubwa kwa UKAWA!

    Mkuu hata ukitukana ukweli utabaki pale pale Mmepigwa ngumi ya pua.... Kama unabisha jenga katikati ya barabara....
  13. Chris Lukosi

    Wasomi wanena: Kuchaguliwa kwa Magufuli ni pigo kubwa kwa UKAWA!

    Haihitaji kua genius kujua kua Magufuli is the best candidate this country have ever had Huyu mtu kafika alipo kwa CV yake na wala sio umaarufu. Alijenga jina lake kiutendaji ambapo ilitegemewa achukiwe na wengi kwa kubomoa nyumba za waliojenga katikai ya bara bara lakini ndio walimpenda...
  14. Chris Lukosi

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    Yaani mimi nije kukuzolea wewe takataka wakati za kwangu zinanishinda?
Back
Top Bottom