hivi mnajua leo mmezingua na hakuna taaarifa mliyotoa abiria wanakaa zaidi ya saa moja kusubiri gari vituo vimejaa au mnafurahia hii hali
hivi mna SLA na wateja
katika huduma za hovyo tanzania yenu namba moja
nyie ni wapuuzi kuanzia viongozi wenu hadi bodi kama mnayo takribani miaka 10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.