Tundu lissu ni mtu ambaye anaweza kuwa ni kigeugeu,miaka ya nyuma alikuwa anapigania haya mambo tena ikafikia hatua akawa anatukana viongozi wa serikali,leo katokea kiongozi ambaye anaonessha dira ya kupigania taifa,badala ya kumuunga mkono hata kumshauri afanye nn,amekuwa wa kwanza...
serikali ya tanzania inapotoa kauli huwa ni nguvu ya soda,mfano maeneo ya ubungo wafanyabiashara wadogowadogo wamerudi kufanya biashara maeneo ambayo yalikatazwa kufanyia biashara..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.