Kuna Wanaojitoa ufahamu nchi hii kama vijana wa pale Lumumba. Fikirieni kabla ya kuandika humu. Tizama hoja nyepesi mnazoweka mezani sasa. Hii ni sawa na kusema kwamba Bunge lisitunge sheria kwa sababu wabunge sio wasomi wa sheria...
Kwa fikira zangu binafsi naona ni UNAFIKI na UOGA.
UNAFIKI
Kama watanzania tutaacha unafiki wa kufumbia vile tunavyoona havifai katika jamii yetu ni wazi kwamba hakuna siku wala sehemu tutasonga mbele. Unafiki mkubwa unachangiwa na ubinafsi wa watu kujijali wao ama na kakikundi kadogo kanako...
Nina mashaka kama Rais ataenda kwenye mkutano huo maana..... 17328560, member: 24815"]Rais John Pombe Magufuli na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mh. Freeman Mbowe, leo wanatarijia kukutana na viongozi mbalimbali wa dini katika hatua ya kutafuta mwafaka kuhusu matamshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.