napinga mtanzania yeyote kwenda jkt na much more kwa mbunge! kwa mazingira ya tanzania na ya dunia ya sasa kupeleka watu jkt ni kuchanganyikiwa,ufisadi na zaidi ni kale ka mchezo ka mbuni kuficha kichwa mchangani ukijidai umejificha.tatizo tunalijua wote na sio watu kutokwenda jkt! lakini kwa...
mkuu umenikumbusha mbali Sana,enzi hizo tulikuwa tukitunga sententi kama hizi
Chachacha za Chacha zimechanika.
Machacha ya Chacha yamechana chachacha zake.
kama kuna siku jf imedhalilisha watu leo imetia fora! Kamanda Mnyika na ndugu Nape kwa niaba ya muanzisha uzi na mods naomba samahani kwa niaba yao!
NB: Sijapiga kura na sipigi!
ni kweli tata makao makuu yanatakiwa kuwa mugumu . by all standards mie sio mbaguzi na Mungu apishie mbali nisiwe mbaguzi lakini kiukweli roho huwa inaniuma sana ninapoona wanaofaidika na mbuga ya serengeti sio wazawa wa serengeti na mkoa wa mara kwa ujumla! anyway the end is near, I can not see...
asante poti! mimi kwa maoni yangu kuwa vijana inabidi watumike kama madaraja na vyama ili kufanikisha malengo ya vyama vyao! katika "kutumika" yaani kutekeleza kwa mstari wa mbele mambo yanayohusu vyama vyao ndio watapata nafasi nzuri ya kufundwa,kulelewa,kujifunza,kuzoea,kuelewa mambo ya chama...
Nyakarungu asiwapeni taabu sana ana tatizo dogo sana kuliko mnavyofikiri! tatizo lake ni kwamba siku nyingi sana hajala vimolo! unajua kwetu usipopata vimolo angalau mara moja kwa miezi sita watu wanaweza wakawa hawakuelewielewi! hili tatizo kwetu huwa linajulikana kama UPUNGUFU WA VIMOLO DAMUNI...
nakubaliana na wewe kwamba vijana wanatakiwa kulelewa ikiwa ni pamoja na kusamehewa lakini pale tu watambuapo makosa yao na kutubu kwa maana ya kuyaacha!hata hivyo chama kina jukumu la kulinda hii taasisi kwa gharama yeyote hasa wakati huu ambao chama tawala kinatumia kila mbinu kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.