Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Mr CarryFoward's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 35
      Rep Power : 581
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      MCHUMI DARAJA LA II (ECONOMIST GRADE II) (NAFASI 21)
      SJFA ZA MWOMBAJI
      Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ambao wamejiimarisha (major) katika mojawapo ya fani zifuatazo;
      Uchumi (Economics) Takwimu (Statistics)
      Sayansi ya Uchumi Kilimo (BSc Agriculture Economics &Agribusness)kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Sokoine au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta
      MSHAHARA .
      Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Tsh: 322,460/= na kuendelea hadi Tsh: 401,880/= kwa mwezi.
      MAJUKUMU YA KAZI
      Kuhudumia kamati mbalimbali za Bunge (Kamati za mahesabu ya Serikali, Kamati ya mahesabu ya mashirika ya Umma)
      Kukusanya takwimu na taarifa mbalimbali za kiuchumi kwa ajili ya uchambuzi na uandaaji wa sera na mipango ya kiuchumi na kijamii
      Kufanya utafitJ na uchambuzi wa sera na vigezo vya kiuchumi jumla Kufanya utafiti na kubainisha fursa zilizopo katika sekta husika
      Kukusanya taarifa na takwimu zinazohitajika katika kubainisha vipaumbele vya ustawi namaendeleo ya jamii.
      Kutayarisha na kusambaza takwimu na taarifa za kiuchumi kwa wadau
      MASHARTI YA KAZI
      Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania.
      Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) pamoja na picha moja ya Passport size za hivi karibuni.
      Kwa urahisi wa mawasiliano, waombaji waonyeshe namba za simu za kuaminika. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya kidato cha nne na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.Testmonials, Provisional Results, Statement of results HAVITAKUBALIWA.
      Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
      Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
      Mwisho wa kupokea barua za maombi ni wiki mbili baada ya Tangazo hili kutoka gazetini kwa mara ya kwanza.
      Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;
      Katibu, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.2483, Dar es Salaam.



      MTAKWIMIJ DARAJA LA II (STATISTICIAN GRADE II) - (NAFASI 11)
      (A) SIFA ZA MWOMBAJI
      Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza katika fani ya Takwimu au Hisabati au sifa zinazolingana na hizo kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali na wenye ujuzi wa kutumia "Information Commnication Technology (ICT)
      (B) MSHAHARA
      Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Tsh: 322,460/= na kuendelea hadi Tsh: 401,880/= kwa mwezi.
      (E) MAJUKUMU YA KAZI
      Kubuni na kuendeleza mfumo wa kitaifa wa kukusanya na kuratibu takwimu Kutengeneza utaratibu wa kukusanya takwimu pamoja na ule wa kuchukua takwimu za mfano/vielelezo (Sampling)
      Kukusanya, Kuchambua na kuwasilisha takwimu ngazi za juu.
      MASHARTI YA KAZI
      Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania.
      Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) pamoja na picha moja ya Passport size za hivi karibuni.
      Kwa urahisi wa mawasiliano, waombaji waonyeshe namba za simu za kuaminika. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya kidato cha nne na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.Testmonials, Provisional Results, Statement of results HAVITAKUBALIWA.
      Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
      Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
      Mwisho wa kupokea barua za maombi ni wiki mbili baada ya Tangazo hili kutoka gazetini kwa mara ya kwanza.
      Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;
      Katibu, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.2483, Dar es Salaam.


      AFISA USHIRIKA DARAJA LA II (COOPERATIVE OFFICER GRADE II) (NAFASI 19)
      (A) SIFA ZA MWOMBAJI
      Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya au Stashahada ya Juu (Advanced Diploma) katika mojawapo ya fani za; Ushirika, Uchumi, Uhasibu, au Masoko kutoka vyuo vinavyotambulika na Serikali.
      (B) MSHAHARA
      Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Tsh: 322,460/= na kuendelea hadi Tsh: 401,880/= kwa mwezi.
      (E) MAJUKUMU YA KAZI
      Kukagua vyama vya Ushirika vya Msingi vinavyoendesha miradi ya pamoja ( Jointy Venture)
      Kuhamasisha uanzishaji wa vyama vya Ushirika vya Msingi.
      Kukusanya na kuchambua takwimu zinazohusu Masoko katika Mkoa.
      Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika vya Msingi Kuratibu/kushiriki katika Elimu ya Ushirika Shirikishikatika vyama vya ushirika vya Msingi.
      MASHARTI YA KAZI
      Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania.
      Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) pamoja na picha moja ya Passport size za hivi karibuni.
      Kwa urahisi wa mawasiliano, waombaji waonyeshe namba za simu za kuaminika. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya kidato cha nne na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.Testmonials, Provisional Results, Statement of results HAVITAKUBALIWA.
      Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
      Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
      Mwisho wa kupokea barua za maombi ni wiki mbili baada ya Tangazo hili kutoka gazetini kwa mara ya kwanza.
      Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;
      Katibu, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.2483, Dar es Salaam.



      AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II (SOCIAL WELFARE OFFICER GRADE II) À(NAFASI68)
      (A) SIFA ZA MWOMBAJI
      Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (SA in Social Works or Sociology) au Stashahada ya juu ya Ustawi wa Jamii (Advanced Diploma in Social Works) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
      (B) MSHAHARA
      Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Tsh: 322,460/= na kuendelea hadi Tsh: 401,880/= kwa mwezi.
      (E) MAJUKUMU YA KAZI
      Kuendesha Usaili wa wahudumia (Watu wenye Ulemavu, Wazee, familia zenye matatizo, watoto na washitakiwa).
      Kufanya ukaguzi wa mazingira wanayoishi Wahudumiwa ili kupata taarifa zao kamili Kuandaa taarifa za usaili na ukaguzi wa mazingira ya wahudumiwa.
      Kupokea na kukusanya taarifa za Ustawi wa Jamii kutoka kwa wadau na vituo mbalimbali vya Ustawi wa Jamii.
      Kupokea na kukusanya takwimu zinazohusu huduma za watu wenye ulemavu, wazee, malezi ya watoto na familia zenye matatizo.
      Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya uandiklshaji vituo vya kulelea watoto wadogo mchana, malezi ya kambo (foster care) na vituo vya walezi wa watoto wadogo mchana.
      Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya msaada wa Rais kutoka kwa akina mama, walojifungua watoto watatu au zaidi kwa mara moja.
      Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya watoto yatima au wanaohitaji misaada mbalimbali
      Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi mbalimbali toka kwenye familia za watu wenye dhiki
      Kuhoji na kuandaa taarifa za washitakiwa.
      Kusimamia wahudumiwa katika makazi, vyuo vya mafunzo ya Ufundi Stadi vya watu wenye ulemavu, Mahabusu za watoto na shule za maadilisho.
      MASHARTI YA KAZI
      Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania.
      Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) pamoja na picha moja ya Passport size za hivi karibuni.
      Kwa urahisi wa mawasiliano, waombaji waonyeshe namba za simu za kuaminika. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya kidato cha nne na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.Testmonials, Provisional Results, Statement of results HAVITAKUBALIWA.
      Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
      Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
      Mwisho wa kupokea barua za maombi ni wiki mbili baada ya Tangazo hili kutoka gazetini kwa mara ya kwanza.
      Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;
      Katibu, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.2483, Dar es Salaam.



      AFISA MAENDELEO YA VIJANA DARAJA LA II (YOUTH DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) - (NAFASI 3)
      SIFA ZA MWOMBAJI
      Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (SA. in Sociology or Social Sciences) au Stashahada ya Juu ya ya Maendeleo ya Jamii au Ustawi wa Jamii au Maendeleo ya Vijana (Advanced Diploma in Social Works or Community Development or Youth Development) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serkali.
      MSHAHARA
      Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Tsh: 322,460/= na kuendelea hadi Tsh: 401,880/= kwa mwezi.
      MAJUKUMU YA KAZI
      Kuratibu na kisimamia utekelezaji wa Sera ya Vijana Kuratibu shughuli za mikopo/mifuko ya Vijana Kuhamasisha vijana ili kufufua moyo wa kujitolea nchini
      Kupanga na kuendesha mafunzo yanayohusu stadi za maisha, stadi za kazi na Afya ya Vijana
      Kuanzisha vituo vya ushauri nasaha, Ajira kwa Vijana na Elimu ya Familia kwa kushirikiana na vyama visivyo vya kiserikali (NGO)
      Kukusanya takwimu mbalimbali zinazohusu Vijana
      Kuratibu shughuli mbalimbali za NGO zinazoshughulikia masuala ya Vijana Kuandaa mipango ya kuboresha malezi ya Vijana
      Kuwahamasisha Waajiri na Wafadhili mbalimbali wachangie mfuko wa mikopo nafuu kwa Vijana katika maeneo mbalimbali
      Kukuza na kuendeleza vipaji mbalimbali walivyonavyo Vijana i1i kuwawezesha kujiajiri
      Kuandaa mipango ya kuwahamasisha Vijana ili kuanzisha miradi midogomidogo ya kujiairi.
      MASHARTI YA KAZI
      Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania.
      Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) pamoja na picha moja ya Passport size za hivi karibuni.
      Kwa urahisi wa mawasiliano, waombaji waonyeshe namba za simu za kuaminika. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya kidato cha nne na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.Testmonials, Provisional Results, Statement of results HAVITAKUBALIWA.
      Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
      Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
      Mwisho wa kupokea barua za maombi ni wiki mbili baada ya Tangazo hili kutoka gazetini kwa mara ya kwanza.
      Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;
      Katibu, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.2483, Dar es Salaam.



      AFISA MICHEZO DARAJA LA II (GAMES AND SPORTS OFFICER GRADE II) (NAFASI10)
      SIFA ZA MWOMBAJI
      Kuajiriwa wenye Shahada au Stashahada ya Juu ya Elimu ya Michezo (Physical Education) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
      MSHAHARA
      Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D Tsh: 322,460/= na kuendelea hadi Tsh: 401,880/= kwa mwezi.
      MAJUKUMU YA KAZI
      Kufundisha fani mbalimbali kwa Waalimu wa vyuo, shule, na vituo vya Elimu na M afunzo
      Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa waalimu, Makocha, viongozi wa vyama na vilabu vya michezo
      Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa Timu za Michezo mbalimbali.
      MASHARTI YA KAZI
      Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania.
      Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) pamoja na picha moja ya Passport size za hivi karibuni.
      Kwa urahisi wa mawasiliano, waombaji waonyeshe namba za simu za kuaminika. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya kidato cha nne na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.Testmonials, Provisional Results, Statement of results HAVITAKUBALIWA.
      Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
      Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi
      Mwisho wa kupokea barua za maombi ni wiki mbili baada ya Tangazo hili kutoka gazetini kwa mara ya kwanza.
      Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo;
      Katibu, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.2483, Dar es Salaam.


    2. #2
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,680
      Rep Power : 2119
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      1601

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Ombeni wenye vigezo timilfu ila msishangae mkikuta nafasi zishajazwa!

    3. bht
      #3
      bht's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 9,968
      Rep Power : 2507
      Likes Received
      1439
      Likes Given
      916

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      mbon sioni 'deadline' y akutuma maombi?
      You dont have to win every Argument, Agree to Disagree

    4. #4
      Mr CarryFoward's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 35
      Rep Power : 581
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By bht
      mbon sioni 'deadline' y akutuma maombi?
      Mwisho ni wiki 2 toka tangazo litoke, ambayo ni jana nafikiri.

    5. #5
      Mr CarryFoward's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th March 2008
      Posts : 35
      Rep Power : 581
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Hivyo itakuwa MAY 5, 2010


    6. Mom
      #6
      Mom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2009
      Location : home
      Posts : 705
      Rep Power : 633
      Likes Received
      11
      Likes Given
      56

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      ninajaribu hii nami nipate ajira serikalini. lakini hiii salary hii jamani watoto watashiba kweli?
      "I'm not afraid of storms, for I'm learning to sail my ship"

    7. #7
      Bicha's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd March 2010
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      5

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Asante nduguyangu, Acha nichangamkie

    8. #8
      costa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 31st January 2010
      Posts : 7
      Rep Power : 478
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Kama kawaida ya serikalini,kazi hadi ushikwe mkono!Tutafika?!Surely,kutanga za ni formality tuh!

    9. GP
      #9
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 922
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By Mom
      ninajaribu hii nami nipate ajira serikalini. lakini hiii salary hii jamani watoto watashiba kweli?
      hahahaah, kuna marupurupu kibao inategemea na kitengo ulicho!,
      wengine hata huo mshahara hawaugusi wanakula marupurupu mara safari, mara semina, mara warsha, mara kongamano etc!
      M4C

    10. #10
      costa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 31st January 2010
      Posts : 7
      Rep Power : 478
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...



      Hebu angalieni hiyo skendo jamani!

    11. #11
      bwanashamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 198
      Rep Power : 508
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      ee bwana uhuu mnara wapi tena aukuua mtu

    12. #12
      Mwana wa Mungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2008
      Posts : 989
      Rep Power : 750
      Likes Received
      16
      Likes Given
      6

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      inauma kuona watu wanatangaza kazi mtu alipwe laki nne. sijui watz tutaondokana lini na umasikini huu.mwezi mzima laki nne.

    13. PhD
      #13
      PhD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Location : houston texas
      Posts : 2,662
      Rep Power : 1606
      Likes Received
      698
      Likes Given
      181

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By GP
      hahahaah, kuna marupurupu kibao inategemea na kitengo ulicho!,
      wengine hata huo mshahara hawaugusi wanakula marupurupu mara safari, mara semina, mara warsha, mara kongamano etc!
      we GP ni true hiyo ya kwamba hawagusi m-salary?
      ngoja nichangamkie mtaalam, nijaribu kupeleka kabahasha kangu ka -kaki!

    14. #14
      costa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 31st January 2010
      Posts : 7
      Rep Power : 478
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      mnara wa tigo huo! wazee wa 50 cent .....!wilayani bunda...!

    15. #15
      carmel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 2,804
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      202
      Likes Given
      128

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By Mwana wa Mungu
      inauma kuona watu wanatangaza kazi mtu alipwe laki nne. sijui watz tutaondokana lini na umasikini huu.mwezi mzima laki nne.
      Si bora ingekuwa laki nne kamili? hiyo TGSD ikishakatwa take home ni 258,000/= sasa kazi kwako ni akili kichwani tu.
      A gossip betrays a confidence; so avoid a man who talks too much.
      Proverbs 20:19


    16. SMU
      #16
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,604
      Rep Power : 3828
      Likes Received
      1349
      Likes Given
      1986

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By carmel
      Si bora ingekuwa laki nne kamili? hiyo TGSD ikishakatwa take home ni 258,000/= sasa kazi kwako ni akili kichwani tu.
      So sad! Pango la yyumba ya familia ya kawaida kabisa si chini ya laki tatu (300,000) kwa mwezi. Hawa wanaishije?
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    17. #17
      Lighondi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Wahapahapa
      Posts : 266
      Rep Power : 605
      Likes Received
      27
      Likes Given
      60

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By SMU
      So sad! Pango la yyumba ya familia ya kawaida kabisa si chini ya laki tatu (300,000) kwa mwezi. Hawa wanaishije?
      Hilo pango la nyumba sio la "Mtamzania wa kawaida" bali la "Mtanzania asiye wa kawaida". Mtanzania wa kawaida anakaa chumba cha elfu 5-7 kwa mwezi ( piga hesabu nyumba ya aina hiyo yenye vyumba vitano ni kiasi gani kwa mwezi...lesi zani fifty k!!!. Zaidi ya hapo huyu mtanzania wa kawaida lazima awe mwizi.......... (Mawazo yangu tuuuu!)

    18. Jey
      #18
      Jey's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th February 2008
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Ufisadi kwa stahili hii hautatokomea ng'oooooh!!!!! Watanzania wenzetu wanatuangamiza kwa kweli duh....! nchi inaelekea kubaya

    19. MJM
      #19
      MJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 390
      Rep Power : 546
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By SMU
      So sad! Pango la yyumba ya familia ya kawaida kabisa si chini ya laki tatu (300,000) kwa mwezi. Hawa wanaishije?
      Halafu Muungwana anasema kama hawataki waondoke serikalini. Kweli watanzania hatuna chetu tena siasa ni uchumi.

    20. MJM
      #20
      MJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 390
      Rep Power : 546
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: Utumishi wamwaga mamia ya kazi...

      Quote By Lighondi
      Hilo pango la nyumba sio la "Mtamzania wa kawaida" bali la "Mtanzania asiye wa kawaida". Mtanzania wa kawaida anakaa chumba cha elfu 5-7 kwa mwezi ( piga hesabu nyumba ya aina hiyo yenye vyumba vitano ni kiasi gani kwa mwezi...lesi zani fifty k!!!. Zaidi ya hapo huyu mtanzania wa kawaida lazima awe mwizi.......... (Mawazo yangu tuuuu!)
      Hizo za 5,000 - 7,000 zinapatikana wapi hapa Dar au ni huko kunakoitwa UNHABITAT maana kuna maeneo nasikia yanaitwa hivyo.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Kazi utumishi!!
      By Mkeshahoi in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 9
      Last Post: 25th October 2010, 16:31
    2. Ni kweli utumishi wamwaga maia ya kazi?
      By Mayu in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 6
      Last Post: 18th October 2010, 14:19

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...