Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      spike's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 66
      Rep Power : 437
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Kuna million 1 kwa atakae fanikisha nipate post pale udom, kazi ninayo ila nataka sana hizo post ni PM kwa mawasiliano zaidi.

      NB:- Naomba usichangie kama huna cha msingi cha kuongea

    2. Miaka 50

    3. #21
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2414
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By King'asti
      Yaan kama hatuna cha maana tusichangie! Kwa hiyo hichi cha kununua kazi umeona ndo cha maana! Safari bado ndefu sana aisee! Kha!
      Mkuu usishangae hilo kwani hongo sikuhizi zipo mpaka kwenye matangazo ndo maana anaona nila msingi

    4. #22
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2414
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Autorun
      Kama upo tayari kuangusha vazi lako mbona fasta tu.
      Hata kama ni wakiume?

    5. #23
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2414
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By spike
      Duh....pole sana kumbe wewe ulidondosha vazi kupata hapo ulipo. Mi nataka nitumie jeuli ya pesa
      Kama ni wa kike hata utoe ngapi hakuna atakaetaka lazima kugawa uchumi tu!

    6. #24
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2414
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By obama wa bongo
      inawezekana mtoa thread hiyo degree yake niya chup....,kwahiyo hawezi kufurukuta kwenye soko la ajira,kama anaweza kuhonga pesa kupata kazi ,basi atakuhonga vitu vingine sio shida kwake
      Hajasema hata elimu yake huenda hata ni level ya kina mwaanasha

    7. #25
      Mmasihiya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 135
      Rep Power : 404
      Likes Received
      41
      Likes Given
      4

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Ni kama namuelewa Spike, yeye katangaza dau na inawezekana watu wanaendelea kum'pm, lakini mwingine anategemea ndugu yake mwenye 'nafasi' udom ampigie pande wakati kuna mwingine ye anasubiria tarehe ya kuanza kazi tu kaishaambiwa awasubirie kidogo wafate taratibu za serikali kutangaza kazi, usaili n.k....yote kwa yote mzalendo endelea kutuma maombi usikate tamaa wanaopata kazi kwa haki na kwa upendeleo wote wapo.
      Prisoner 46664 likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 516
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      ndugu yangu we ni wa kike au wa kiume??

    10. #27
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      kweli mkuu milion moja ni mtaji tosha!

      Quote By ulanzi mtamu
      hiyo mil 1 kwanini ucfanye ka-ujasiliamali mkuu?.

    11. #28
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 595
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      kwa hiyo milioni moja kazi udom unapata mimi na ushahidi zaidi ya watu 3 wazazi wao walitoa milioni na kazi wakapata

    12. #29
      obama wa bongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Location : WHITE HOUSE
      Posts : 1,031
      Rep Power : 620
      Likes Received
      274
      Likes Given
      229

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Quote By kingxvi
      kwa hiyo milioni moja kazi udom unapata mimi na ushahidi zaidi ya watu 3 wazazi wao walitoa milioni na kazi wakapata
      hao wazazi akili za sitimamu,yaani wamsomeshe mtoto,kazi wamnunulie mwisho wataenda ofisini kumfanyia kazi!

    13. #30
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      unaish TZ au dunia gani wewe?

      kibongo bongo siku hizi kupata kazi utasanda kama huna reffa, godfather au ndio vile wakati mwingine unaambiwa live "nyoosha mkono" ili upate kazi!

      na sio kwamba watu wana vyeti vibovu au vipi system ndio imeshaharibika so inabidi na wewe uendane nayo hivyohivyo ili na wewe ufit nayo!

      na bora huyo anayetoa mlungula ili apate kazi kuliko yule anayekwenda kwa sangoma apate ajira!

      Quote By obama wa bongo
      hao wazazi akili za sitimamu,yaani wamsomeshe mtoto,kazi wamnunulie mwisho wataenda ofisini kumfanyia kazi!

    14. #31
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      mkuu kama kweli hiyo jeuri ya pesa ipo, kwanini usifanye mtaji ukajiajiri ? !

      Quote By spike
      Duh....pole sana kumbe wewe ulidondosha vazi kupata hapo ulipo. Mi nataka nitumie jeuli ya pesa
      Prisoner 46664 likes this.

    15. #32
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,294
      Rep Power : 745
      Likes Received
      430
      Likes Given
      362

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      ndio wabongo tumefikia hapa? Elimu yetu inataka "total overhauled"
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    16. #33
      obama wa bongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Location : WHITE HOUSE
      Posts : 1,031
      Rep Power : 620
      Likes Received
      274
      Likes Given
      229

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Quote By mathematics
      unaish TZ au dunia gani wewe?

      kibongo bongo siku hizi kupata kazi utasanda kama huna reffa, godfather au ndio vile wakati mwingine unaambiwa live "nyoosha mkono" ili upate kazi!

      na sio kwamba watu wana vyeti vibovu au vipi system ndio imeshaharibika so inabidi na wewe uendane nayo hivyohivyo ili na wewe ufit nayo!

      na bora huyo anayetoa mlungula ili apate kazi kuliko yule anayekwenda kwa sangoma apate ajira!
      pole kwa mawazo yako mgando!

    17. #34
      buhange's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd October 2011
      Posts : 208
      Rep Power : 423
      Likes Received
      15
      Likes Given
      2

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Nina wasiwasi na weredi wa muanzisha thread hii, yamkini ni walewale digrii za chup...! Anzisha kibanda cha mama Ntilie, au la kama we' Gamba kampigie magoti rais mzembe na dhaifu

    18. #35
      Tungaraza Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 480
      Likes Received
      45
      Likes Given
      82

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Quote By Shine
      Hajasema hata elimu yake huenda hata ni level ya kina mwaanasha
      Huyu mtoto wa mkuu wa kaya ila ana 4 peke yake shule nzima na ni ya kwanza tangu xul ianzishwe...
      "Looking at faces of people, one gets the feeling there's a lot of work to be done"

    19. #36
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      in life you can not understand a certain situation until you come across it in a life time,

      the same situation ever happened to me, i performed well the interview but was called in a chamber and some one told me if i want a job i must give something!

      after struggling hard looking for a job , what would you do if were you?


      Quote By obama wa bongo
      pole kwa mawazo yako mgando!

    20. #37
      spike's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 66
      Rep Power : 437
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mathematics
      in life you can not understand a certain situation until you come across it in a life time,

      the same situation ever happened to me, i performed well the interview but was called in a chamber and some one told me if i want a job i must give something!

      after struggling hard looking for a job , what would you do if were you?
      asante mkuu tunashare concerpt, kuna wangapi waliosoma sasa na wengi sana tuna kila kigezo cha kupata kazi unathani katika watu 2000 utakosa watu 50 wenye vigezo na unapataje wa2 10 wakuwaajiri? Wakati mwingine haya mambo ni muhimu ingawa c halali

    21. #38
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,119
      Rep Power : 650
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1562

      Default Re: Nina 1Mil nataka post zilizo toka Udom

      Quote By spike
      Kuna million 1 kwa atakae fanikisha nipate post pale udom, kazi ninayo ila nataka sana hizo post ni PM kwa mawasiliano zaidi.

      NB:- Naomba usichangie kama huna cha msingi cha kuongea
      Nipe mimi ntakuombea kwa Mungu utapata bila tatizo
      ***********To Do is to Know***********

    22. #39
      Graca's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2011
      Posts : 463
      Rep Power : 500
      Likes Received
      129
      Likes Given
      41

      Default

      Quote By spike
      asante mkuu tunashare concerpt, kuna wangapi waliosoma sasa na wengi sana tuna kila kigezo cha kupata kazi unathani katika watu 2000 utakosa watu 50 wenye vigezo na unapataje wa2 10 wakuwaajiri? Wakati mwingine haya mambo ni muhimu ingawa c halali
      umesomeka mkuu,hii hali inaumiza kinoma. mi pia nipo ktk hali hyo very desperate.

    23. #40
      spike's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 66
      Rep Power : 437
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By obama wa bongo
      pole kwa mawazo yako mgando!
      kwa sasa haya mawazo ni mgando...!!! Ila we utakua umeganda

    24. Study Abroad
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...