Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada: Uandishi wa project proposal

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Msaada: Uandishi wa project proposal

      Naombeni msaada tafadhali.
      Nimenunua eneo la shamba la ekari 4 ambalo nahitaji kulipanda miti ya mbao lote. Naomba kufahamishwa hatua za kuandika proposal kwa aina hii ya mradi na nielekezwe mashirika ambayo naweza kuipeleka ili niwezeshwe kufanikisha huo mradi.Natarajia kufanya shughuli hiyo kuanzia mwezi Nov mwaka huu ili kuwahi mvua za mwakani.

      Nitawashukuru sana wana JF ambao watanisaidia kwa ushauri na kunipa changamoto za mradi huo.

      Wasalaam!

    2. Study Abroad

    3. #2
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,112
      Rep Power : 28887
      Likes Received
      11616
      Likes Given
      4783

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      Yaani ung-google kwanza interested investors (tanesco wamesinzia, mgololo wana mashamba yao). Jinsi ya kuandika proposal huwa inategemea matakwa ya mwekezaji. Angalia Jatrofa stakeholders in tanzania uone pa kuanzia.

      Kila la kheri
      MAKOLE likes this.

    4. #3
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      mh! ni wazo zuri ila naona kama ni ka eneo kadogo...kuwapata investors kwa eneo dogo kiasi hicho ni ngumu kdogo...au unaamnisha proposal ya kupata loan? kwanza eneo lenyewe unalimiliki kisheria? yaani una hati?
      Quote By MAKOLE
      Naombeni msaada tafadhali.
      Nimenunua eneo la shamba la ekari 4 ambalo nahitaji kulipanda miti ya mbao lote. Naomba kufahamishwa hatua za kuandika proposal kwa aina hii ya mradi na nielekezwe mashirika ambayo naweza kuipeleka ili niwezeshwe kufanikisha huo mradi.Natarajia kufanya shughuli hiyo kuanzia mwezi Nov mwaka huu ili kuwahi mvua za mwakani.

      Nitawashukuru sana wana JF ambao watanisaidia kwa ushauri na kunipa changamoto za mradi huo.

      Wasalaam!
      MAKOLE likes this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    5. #4
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      Naam, kisheria hilo eneo nalimiki mimi, je ni kiasi gani cha eneo linaweza kufaa walau kwa kiwango cha chini? naweza kufanya maarifa mengine

    6. #5
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      Quote By Mtego wa Noti
      mh! ni wazo zuri ila naona kama ni ka eneo kadogo...kuwapata investors kwa eneo dogo kiasi hicho ni ngumu kdogo...au unaamnisha proposal ya kupata loan? kwanza eneo lenyewe unalimiliki kisheria? yaani una hati?
      Naam, kisheria hilo eneo nalimiki mimi, je ni kiasi gani cha eneo linaweza kufaa walau kwa kiwango cha chini? naweza kufanya maarifa mengine

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      Quote By King'asti
      Yaani ung-google kwanza interested investors (tanesco wamesinzia, mgololo wana mashamba yao). Jinsi ya kuandika proposal huwa inategemea matakwa ya mwekezaji. Angalia Jatrofa stakeholders in tanzania uone pa kuanzia.

      Kila la kheri
      Amina mkuu, naheshimu sana wazo lako.

    9. #7
      1701's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 79
      Rep Power : 414
      Likes Received
      14
      Likes Given
      21

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      Ninafaham namna ya kuandika mirad ila huwez kukurupuka na kutoa msaada,lazma ujue aina ya miti unayotaka kupanda na mambo mengne mengi,TIB wana softloans pale

    10. #8
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 422
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Msaada: Uandishi wa project proposal

      Quote By 1701
      Ninafaham namna ya kuandika mirad ila huwez kukurupuka na kutoa msaada,lazma ujue aina ya miti unayotaka kupanda na mambo mengne mengi,TIB wana softloans pale
      Miti ambayo nahitaji kuipanda ni miti ya mbao hasa mitiki, grivelia na (m-mavimavi) sijui kama unafahamu huo mti ndani ya mabano.

    11. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...