Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Rweza79's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 382
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      Wapendwa naomba mnifahamishe kuhusu kampuni ya Mantra tanzania ltd. Mishahara yao ikoje, na mambo mengine unayoyafahamu.

      Rgds.
      Jf.

    2. Miaka 50

    3. #2
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,037
      Rep Power : 16326
      Likes Received
      2217
      Likes Given
      1259

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      Mkuu mbona umekuja kwa mtindo wa promotion??nikajua wanauza tractor kwa bei ya promo!!anyway subiri waje wadaku wa mishahara ya watu!
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    4. #3
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,591
      Rep Power : 22053
      Likes Received
      992
      Likes Given
      769

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      Hawa si ndio watakaochimba uranium kule Namtumbo!
      Wanalipa vyema ila ndo ivyo tena madhara ya uranium juu yako

    5. #4
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 832
      Rep Power : 684
      Likes Received
      160
      Likes Given
      51

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      mkuu we nenda tu kwenye interview, jiuze na dai unachostahiki! kujua level za mishahara hazikusaidii sana kama huwezi kujiuza wewe mwenyewe!
      CAY likes this.
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    6. #5
      Rweza79's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 382
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Njowepo
      Hawa si ndio watakaochimba uranium kule Namtumbo!
      Wanalipa vyema ila ndo ivyo tena madhara ya uranium juu yako
      Ndio hao wenyewe lkn nataka jua ni watu wa aina gani wanaohimiliki kampuni hiyo?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 820
      Rep Power : 528
      Likes Received
      274
      Likes Given
      18

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      RWEZA 79

      Hao jamaa walikuwa wazuri sana wakati walipoanza kampuni ilikuwa imeshikiriwa na wacanada na waustralia, wanachimba uranium namtumbo around mkuju river wapo kwenye serou game reserve (Namtumbo songea), sasa hivi wanafanya utafiti wa uranium lakini kiaina wanachukua madini around the area, mwaka jana mwezi dec waliingia ubia na Russia one,(Nimakaburu wakatili sana) mishahara ikapunguzwa risk allowance( coz unakaa wiki6 site na wiki 3 off, mnapoa msituni mmezungukwa na matembo na masimba etc) so ilikuwepo hyo risk allowance ya kutosha ikaondolewa baada ya hao warusi kuja watu wengisana wameondoka mpaka hizo nafasi za environmental officer et al.. kutangazwa huyo jamaa environmental officer ni ndugu yangu alicha kazi hiyo baada ya kuona hao warusi wanajipendelea mtu mwenye diploma tu ya geology wa kwao wanamlipa around dola 8,000 achilia mbali malupulupu mengine, wakati kazi kubwa alikuwa anzifanya huyo environmental officer then wakamtoa kwenye salary ya 1,200,000 mpaka laki 700,000 jamaa akasepa, wengi tu wamesepa hata mtaalamu wa maji wa barrick ambaye alijiunga na hao mantra naye alicha kazi watu kama 6 hivi matechinician wameacha kazi... full risk huko, huyo jamaa yangu aliwahi kukuswa koswa na simba, alikuwa anadrive, kwenda kuchukua sample ya udongo na maji eneo fulani akapaki gari fresh, kurudi anakuta simba amepoa kwenye mlango wa gari loh ilikuwa noma... bahati simba alikuwa ameshiba akasepa.. jamaa hakuamini... so kama huna dili kabisa mkuu nenda lakini kama unadili lingine.... think twice, hao makaburu siyo watu washatesa watu wengi sana tangu wapewe huo mgodi... kila lakheri

    9. #7
      sumasuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : ontario
      Posts : 290
      Rep Power : 456
      Likes Received
      79
      Likes Given
      57

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      Safi mkuu kwa Taarifa na mimi nilikuwa natafuta taarifa hizo!!!

    10. #8
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,937
      Rep Power : 1431
      Likes Received
      1507
      Likes Given
      1615

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      kama huna watoto usiende huko,mi nawafahamu,naona pollution ishaanza huko mgodini manake nawaona hapa majiya kunywa na kuoga wanafuata kijiji flani kinaitwa mchomoro/namtumbo district,kwenye malipo jamaa kaelezea hapo juu,kila la kheri

    11. #9
      Rweza79's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 382
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By commited
      RWEZA 79

      Hao jamaa walikuwa wazuri sana wakati walipoanza kampuni ilikuwa imeshikiriwa na wacanada na waustralia, wanachimba uranium namtumbo around mkuju river wapo kwenye serou game reserve (Namtumbo songea), sasa hivi wanafanya utafiti wa uranium lakini kiaina wanachukua madini around the area, mwaka jana mwezi dec waliingia ubia na Russia one,(Nimakaburu wakatili sana) mishahara ikapunguzwa risk allowance( coz unakaa wiki6 site na wiki 3 off, mnapoa msituni mmezungukwa na matembo na masimba etc) so ilikuwepo hyo risk allowance ya kutosha ikaondolewa baada ya hao warusi kuja watu wengisana wameondoka mpaka hizo nafasi za environmental officer et al.. kutangazwa huyo jamaa environmental officer ni ndugu yangu alicha kazi hiyo baada ya kuona hao warusi wanajipendelea mtu mwenye diploma tu ya geology wa kwao wanamlipa around dola 8,000 achilia mbali malupulupu mengine, wakati kazi kubwa alikuwa anzifanya huyo environmental officer then wakamtoa kwenye salary ya 1,200,000 mpaka laki 700,000 jamaa akasepa, wengi tu wamesepa hata mtaalamu wa maji wa barrick ambaye alijiunga na hao mantra naye alicha kazi watu kama 6 hivi matechinician wameacha kazi... full risk huko, huyo jamaa yangu aliwahi kukuswa koswa na simba, alikuwa anadrive, kwenda kuchukua sample ya udongo na maji eneo fulani akapaki gari fresh, kurudi anakuta simba amepoa kwenye mlango wa gari loh ilikuwa noma... bahati simba alikuwa ameshiba akasepa.. jamaa hakuamini... so kama huna dili kabisa mkuu nenda lakini kama unadili lingine.... think twice, hao makaburu siyo watu washatesa watu wengi sana tangu wapewe huo mgodi... kila lakheri
      Sawa kiongozi, sasa hiyo 700000 au 1200000 ni gross au basic?

    12. #10
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 820
      Rep Power : 528
      Likes Received
      274
      Likes Given
      18

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      hizo figure ni kabla ya makato mkuu

    13. #11
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,497
      Rep Power : 2078
      Likes Received
      1061
      Likes Given
      1568

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      Nadhani jibu alilolitoa commited litakuwa ni la msaada sana kwako!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    14. #12
      Rweza79's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 382
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Rweza79
      Sawa kiongozi, sasa hiyo 700000 au 1200000 ni gross au basic?
      hicho kiwango ndio ukipata mwezi huu hadi mwezi ujao? Hakuna malupulupu mengineyo? Kama unaweza naomba namba huyo ndg. Yako niwasiliane nae mdau.

    15. #13
      Bosco Ntaganda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : DRC- MSITUNI
      Posts : 489
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      63

      Default Re: Mantra, mantra tanzania ltd!!!

      Quote By commited
      RWEZA 79

      Hao jamaa walikuwa wazuri sana wakati walipoanza kampuni ilikuwa imeshikiriwa na wacanada na waustralia, wanachimba uranium namtumbo around mkuju river wapo kwenye serou game reserve (Namtumbo songea), sasa hivi wanafanya utafiti wa uranium lakini kiaina wanachukua madini around the area, mwaka jana mwezi dec waliingia ubia na Russia one,(Nimakaburu wakatili sana) mishahara ikapunguzwa risk allowance( coz unakaa wiki6 site na wiki 3 off, mnapoa msituni mmezungukwa na matembo na masimba etc) so ilikuwepo hyo risk allowance ya kutosha ikaondolewa baada ya hao warusi kuja watu wengisana wameondoka mpaka hizo nafasi za environmental officer et al.. kutangazwa huyo jamaa environmental officer ni ndugu yangu alicha kazi hiyo baada ya kuona hao warusi wanajipendelea mtu mwenye diploma tu ya geology wa kwao wanamlipa around dola 8,000 achilia mbali malupulupu mengine, wakati kazi kubwa alikuwa anzifanya huyo environmental officer then wakamtoa kwenye salary ya 1,200,000 mpaka laki 700,000 jamaa akasepa, wengi tu wamesepa hata mtaalamu wa maji wa barrick ambaye alijiunga na hao mantra naye alicha kazi watu kama 6 hivi matechinician wameacha kazi... full risk huko, huyo jamaa yangu aliwahi kukuswa koswa na simba, alikuwa anadrive, kwenda kuchukua sample ya udongo na maji eneo fulani akapaki gari fresh, kurudi anakuta simba amepoa kwenye mlango wa gari loh ilikuwa noma... bahati simba alikuwa ameshiba akasepa.. jamaa hakuamini... so kama huna dili kabisa mkuu nenda lakini kama unadili lingine.... think twice, hao makaburu siyo watu washatesa watu wengi sana tangu wapewe huo mgodi... kila lakheri
      Hahaha mkulu, msalimie Hashim Milanga
      SAA YA UKOMBOZI NI SASA

    16. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...