Wapendwa naomba mnifahamishe kuhusu kampuni ya Mantra tanzania ltd. Mishahara yao ikoje, na mambo mengine unayoyafahamu.
Rgds.
Jf.
Wapendwa naomba mnifahamishe kuhusu kampuni ya Mantra tanzania ltd. Mishahara yao ikoje, na mambo mengine unayoyafahamu.
Rgds.
Jf.
Mkuu mbona umekuja kwa mtindo wa promotion??nikajua wanauza tractor kwa bei ya promo!!anyway subiri waje wadaku wa mishahara ya watu!
Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!
Hawa si ndio watakaochimba uranium kule Namtumbo!
Wanalipa vyema ila ndo ivyo tena madhara ya uranium juu yako
mkuu we nenda tu kwenye interview, jiuze na dai unachostahiki! kujua level za mishahara hazikusaidii sana kama huwezi kujiuza wewe mwenyewe!
...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.
RWEZA 79
Hao jamaa walikuwa wazuri sana wakati walipoanza kampuni ilikuwa imeshikiriwa na wacanada na waustralia, wanachimba uranium namtumbo around mkuju river wapo kwenye serou game reserve (Namtumbo songea), sasa hivi wanafanya utafiti wa uranium lakini kiaina wanachukua madini around the area, mwaka jana mwezi dec waliingia ubia na Russia one,(Nimakaburu wakatili sana) mishahara ikapunguzwa risk allowance( coz unakaa wiki6 site na wiki 3 off, mnapoa msituni mmezungukwa na matembo na masimba etc) so ilikuwepo hyo risk allowance ya kutosha ikaondolewa baada ya hao warusi kuja watu wengisana wameondoka mpaka hizo nafasi za environmental officer et al.. kutangazwa huyo jamaa environmental officer ni ndugu yangu alicha kazi hiyo baada ya kuona hao warusi wanajipendelea mtu mwenye diploma tu ya geology wa kwao wanamlipa around dola 8,000 achilia mbali malupulupu mengine, wakati kazi kubwa alikuwa anzifanya huyo environmental officer then wakamtoa kwenye salary ya 1,200,000 mpaka laki 700,000 jamaa akasepa, wengi tu wamesepa hata mtaalamu wa maji wa barrick ambaye alijiunga na hao mantra naye alicha kazi watu kama 6 hivi matechinician wameacha kazi... full risk huko, huyo jamaa yangu aliwahi kukuswa koswa na simba, alikuwa anadrive, kwenda kuchukua sample ya udongo na maji eneo fulani akapaki gari fresh, kurudi anakuta simba amepoa kwenye mlango wa gari loh ilikuwa noma... bahati simba alikuwa ameshiba akasepa.. jamaa hakuamini... so kama huna dili kabisa mkuu nenda lakini kama unadili lingine.... think twice, hao makaburu siyo watu washatesa watu wengi sana tangu wapewe huo mgodi... kila lakheri
Safi mkuu kwa Taarifa na mimi nilikuwa natafuta taarifa hizo!!!
kama huna watoto usiende huko,mi nawafahamu,naona pollution ishaanza huko mgodini manake nawaona hapa majiya kunywa na kuoga wanafuata kijiji flani kinaitwa mchomoro/namtumbo district,kwenye malipo jamaa kaelezea hapo juu,kila la kheri
hizo figure ni kabla ya makato mkuu
Nadhani jibu alilolitoa commited litakuwa ni la msaada sana kwako!!!!
The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders
Follow Us Here