Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Troo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Location : West End
      Posts : 33
      Rep Power : 370
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Naomba Mwongozo wa maswali au ushauri kuhusu interview aptitude test ya tarehe 24 mwezi
      huu pale Udms Yombo No5 na 6!!!?

    2. Miaka 50

    3. #2
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,606
      Rep Power : 690
      Likes Received
      437
      Likes Given
      318

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Mimi nimeitwa na hawa jamaa lakini sikuweza kuwajua vizuri ni watu gani maana nilikuwa bega kwa bega na bosi wangu kwa hiyo hata sikuweza kumuulizia alienipigia simu, tafadhari nijulishe muda ni saa ngapi na inatakiwa twende na viambatanisho gani, pia sikuipata fresh kampuni / taasisi hiyo maana si unajua katika kuhangaika tunatuma CV sehemu nyingi, please naomba ufafanuzi ndugu yangu
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    4. #3
      cielo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2011
      Posts : 108
      Rep Power : 402
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      mi pia nimeitwa, duh kumbe tupo wengi,ni GEPF, nimeitwa kwa nafas ya acountant, nimeambiwa niende na pen pensel na lula,
      Penguin-1 likes this.

    5. #4
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 397
      Likes Received
      40
      Likes Given
      25

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Quote By cielo
      mi pia nimeitwa, duh kumbe tupo wengi,ni GEPF, nimeitwa kwa nafas ya acountant, nimeambiwa niende na pen pensel na lula,
      Wanapiga simu au coz na mimi niliomba kwenye lile tangazo hakuandika kuwa ni GEPF ila waliandika the growing fund. Hongereni mlioitwa.
      "WHEN U GO PLACES, GO PLACES IN STYLE"

    6. #5
      cielo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2011
      Posts : 108
      Rep Power : 402
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Bandabichi
      Wanapiga simu au coz na mimi niliomba kwenye lile tangazo hakuandika kuwa ni GEPF ila waliandika the growing fund. Hongereni mlioitwa.
      ndio, wanapiga simu

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Quote By Troo
      Naomba Mwongozo wa maswali au ushauri kuhusu interview aptitude test ya tarehe 24 mwezi
      huu pale Udms Yombo No5 na 6!!!?
      Ukisha ambiwa uje na peni na karatasi bila kusahau lula unataka nini tena? chukua vitini vyako vyote vya chuo vya professional yako kisha meza kimoja baada ya kingine. Ukimaliza jikumbushie vihesabu vidogovidogo vya ufahamu kama Variation, simple algebra. baada ya hapo usikae mbali na englishi hasa structure. Kiufupi maticulation paper ndo mfano wa unachokwenda kukutana nacho. Kama vipi na Mofimu za ngeli
      Penguin-1 likes this.

    9. #7
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,606
      Rep Power : 690
      Likes Received
      437
      Likes Given
      318

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Jamani naombeni kujuzwa muda wa kufika maana sikuwa makini maana nilikuwa na bosi wangu, please msaada wenu tafadhari
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    10. #8
      NYAMALAWA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 47
      Rep Power : 364
      Likes Received
      4
      Likes Given
      12

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Me pia nimepigiwa muda si mrefu,halafu wanasema yombo 6 wakati pale ud haipo,mwisho yombo 5

    11. #9
      cielo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2011
      Posts : 108
      Rep Power : 402
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By bornagain
      Jamani naombeni kujuzwa muda wa kufika maana sikuwa makini maana nilikuwa na bosi wangu, please msaada wenu tafadhari
      sa4 pepa ila wamesema ufke kabla ya sa 2

    12. #10
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,606
      Rep Power : 690
      Likes Received
      437
      Likes Given
      318

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Quote By cielo
      sa4 pepa ila wamesema ufke kabla ya sa 2
      Merci beaucoup
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    13. #11
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By NYAMALAWA
      Me pia nimepigiwa muda si mrefu,halafu wanasema yombo 6 wakati pale ud haipo,mwisho yombo 5
      hee mwisho yombo 5? Mimi nimesoma ud bt najua mwisho yombo 3.

    14. #12
      NYAMALAWA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 47
      Rep Power : 364
      Likes Received
      4
      Likes Given
      12

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Quote By Kilahunja
      hee mwisho yombo 5? Mimi nimesoma ud bt najua mwisho yombo 3.
      Wameongeza yombo mbili

    15. #13
      cielo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2011
      Posts : 108
      Rep Power : 402
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By bornagain
      Merci beaucoup
      bienvenue..

    16. #14
      SYLIVERY's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Lightbulb Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Quote By Kilahunja
      hee mwisho yombo 5? Mimi nimesoma ud bt najua mwisho yombo 3.
      Naomba kuuliza, kwani hawa jamaa walitangaza nafasi ngapi? I mean posts walizotangaza kwenye tangazo lao la kukaribisha maombi zilikuwa ni ngapi? Anayezikumbuka anaweza kuziorodhesha kutukumbusha.

    17. #15
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      mtiani wa kwanza ni kusoma ratiba

    18. #16
      ropam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 477
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Quote By Kilahunja
      hee mwisho yombo 5? Mimi nimesoma ud bt najua mwisho yombo 3.
      we utakuwa wa 2010 kurudi nyuma mjomba...hata yombo cafeteria hujaiona acha niku-update, cafeteria ya hall 6 ilifutwa mjomba...ofisi za daruso ndo zilihamia hapo ilipokuwa cafe ya hall 6...kale kapori kalikokuwa mbele ya yombo three kalifyekwa, sasa hivi wameongezea yombo 4 na yombo 5...majengo ambayo yanafanana kabisa na theatre one&two sema haya yana ghorofa kama nkurumah....mjomba ile packing iliyokuwa pale katikati ya nyumba ya Mkandala na NBC bank imeanza kusongwa, kuna tuvibanda wanajenga pale nyuma sijui twa kazi gani...pale UDBS yanashushwa majengo ya hatari mjomba sijui yote ya kusomea yale au niaje (nisamehe kama uliondoka enzi udbs haijazaliwa)...mjomba unakumbuka lile eneo la wazi lililokuwa pale COET opposite na NMB bank...nimepita juzi nimekuta limezungushiwa mabati yani kuna ujenzi unaendelea sikufanikiwa kujua ni ujenzi wa nini unaendelea. Mjomba unakumbuka enzi zile za FASS, FIVE, FoS,IJMS, Bcom etc...hatuna tena enzi hizo, siku hizi wanaitwa CASS, COICT, School of law,SJMS, UDBS respectively....mambo yamebadilika sana mjomba, ukipata muda tembelea chuo chako cha zamani upate kujionea mwenyewe, ila pamoja na mabadiliko hayo yote kuna mambo bado hayajabadilika mpaka leo....tangu ile 1st class ya yule rafiki yako aliyemaliza miaka kadhaa mbele yako kitengo cha sheria, haijapata kutokea first class nyingne mpaka leo kwenye tasnia ya sheria, si unakumbuka ma-TO wa chuo walikuwa wanatokea sana science na mara chache economics, hiyo hali bado haijabadilika mpaka leo mjomba....nina mengi sana ya kukuandikia mjomba ila kwa leo naomba niishie hapa, panapo majaliwa nitakuandikia barua nyingine....Ubarikiwe sana Mjomba
      Penguin-1 likes this.
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    19. #17
      Penguin-1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Location : Kyannumbu Avenue
      Posts : 346
      Rep Power : 425
      Likes Received
      47
      Likes Given
      282

      Default Re: ANY one wit UPDATES&REVIEW QUESTIONS AND TRICKS ZA USAILI WA 24/08/2012 pale UDSM

      Hii ni kazi ya kwanza kabisa kuomba kwa kutuma barua posta na kuitwa,
      Peni ,Penseli na Rula saa 2 nipo yomboni---bahati iliyoje
      "Be not afraid!" Giovanni Paolo Segundo

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...