Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo
Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha
Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu
Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu
Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
,bora walimu na drs
Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi
Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
kwenye ajira
Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri
Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka
Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia
Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa
Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala
Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito
Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa
Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
Mkuu mawazo yako ni mazuri sana. Ila nikushauri kitu kimoja. Wewe unatakiwa kusonga mbele na wazo lako na kuhusu mtaji anza na aidea ambazo hazihitaji capital kubwa sana mfano sevice. Na unatakiwa KUCHOMA MELI MOTO Wagiriki wakati walop kuwa wakienda vitan enzi hizo walikuwa wanachoma moto meli zao mara tu walipo kuwa wakifika pwani ya eneo la vita hii iliwanya wagiriki kuwa na only one optional nayo ni ya kushinda vita tu. Kwa sababu hata wakisarenda hawataweza kurudi kwao make walisha choma meli zao zote so hii ya kuchoma moto iliwapa ari ya kupigana na mara zote walishinda.
So na wewe huna budi kufumbia macho vikwazo vyote make vikwazo vingine husababishwa na marafiki na ndugu.
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
jamani poleni sana wahanga ,ata mimi ni ex-mhanga maaana hua inaumaa sana kwa msomi kukaa nyumbani bila kufanya kazi ila msikate tamaa MUNGU atawasaidia!
jambo mnalotaka kufanya kujiajiri ni zuri sana,maana hizi ajira za watu ,unabanwa unashindwa kufanya maandeleo yako binafsi unamtumikia mwajiri tu
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
Aksante sana kwa mtazamo wako mzuri.
Mawazo yako ni ya kishujaa, na vijana wengi inabidi tuondokane na ule mtazamo wa kuajiriwa, na sasa tufikirie zaidi ni kwa vipi tunawezajiajiri wenyewe.
Not always that something is better than nothing, sometimes nothing is better than something.
Thanks once again.
Regards.
Mkuu mawazo yako ni mazuri sana. Ila nikushauri kitu kimoja. Wewe unatakiwa kusonga mbele na wazo lako na kuhusu mtaji anza na aidea ambazo hazihitaji capital kubwa sana mfano sevice. Na unatakiwa KUCHOMA MELI MOTO Wagiriki wakati walop kuwa wakienda vitan enzi hizo walikuwa wanachoma moto meli zao mara tu walipo kuwa wakifika pwani ya eneo la vita hii iliwanya wagiriki kuwa na only one optional nayo ni ya kushinda vita tu. Kwa sababu hata wakisarenda hawataweza kurudi kwao make walisha choma meli zao zote so hii ya kuchoma moto iliwapa ari ya kupigana na mara zote walishinda.
So na wewe huna budi kufumbia macho vikwazo vyote make vikwazo vingine husababishwa na marafiki na ndugu.
Aksante sana kwa mtazamo wako mzuri.
Mawazo yako ni ya kishujaa, na vijana wengi inabidi tuondokane na ule mtazamo wa kuajiriwa, na sasa tufikirie zaidi ni kwa vipi tunawezajiajiri wenyewe.
Not always that something is better than nothing, sometimes nothing is better than something.
Thanks once again.
Regards.
jamani poleni sana wahanga ,ata mimi ni ex-mhanga maaana hua inaumaa sana kwa msomi kukaa nyumbani bila kufanya kazi ila msikate tamaa MUNGU atawasaidia!
jambo mnalotaka kufanya kujiajiri ni zuri sana,maana hizi ajira za watu ,unabanwa unashindwa kufanya maandeleo yako binafsi unamtumikia mwajiri tu
Akhsante mkuu kwa muono wako,
Hata hivyo nimegundua watu hatujiamini kwa kile tunafikiri tunaweza kufanya
Hakuna kitu kibaya kama kudhani wazo langu litaonekana la kijinga, nimepokea baadhi ya PM lakini karibu wote wanataka kujua ninaplan gani badala ya kutaka kukutana na kuangalia tufanye nini
Sita kata tamaa kamwe
Hii ndio njia pekee ya uhakika ya kutoka
Nakaribisha hata mawazo ya aina ya ujasiliamari tunaoweza kufanya
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
By Mayu
Akhsante mkuu kwa muono wako,
Hata hivyo nimegundua watu hatujiamini kwa kile tunafikiri tunaweza kufanya
Hakuna kitu kibaya kama kudhani wazo langu litaonekana la kijinga, nimepokea baadhi ya PM lakini karibu wote wanataka kujua ninaplan gani badala ya kutaka kukutana na kuangalia tufanye nini
Sita kata tamaa kamwe
Hii ndio njia pekee ya uhakika ya kutoka
Nakaribisha hata mawazo ya aina ya ujasiliamari tunaoweza kufanya
oi mi npo siriaz pia n mhanga wa ajra ka vp tuwasiliane ili tu emplement hyo plan
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
Kisaikolojia tu ulishafeli. Kwa leo hii tu, wapo wengi waliopata ajira, huo ni mtazamo wako binafsi. Then umeshapata wasaa na kutafakari kwa nini unafeli interviews zote ulizofanya? Isije ikawa Uli graduate with the aid of MIGI's
By Mayu
Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo
Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha
Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu
Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu
Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
,bora walimu na drs
Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi
Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
kwenye ajira
Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri
Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka
Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia
Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa
Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala
Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito
Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa
Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
si kosa lenu wadogo, ni nchi kufikiri elimu ni masomo ya biashara na arts tu. kila chuo kinachoanzishwa ni arts na commerce na cku hizi imekuja hii wanaita ict.
sie tulosoma science subjects like engineering tunakula raha tu, ajira zinatutafuta zenyewe.
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
By mamanalia
si kosa lenu wadogo, ni nchi kufikiri elimu ni masomo ya biashara na arts tu. kila chuo kinachoanzishwa ni arts na commerce na cku hizi imekuja hii wanaita ict.
sie tulosoma science subjects like engineering tunakula raha tu, ajira zinatutafuta zenyewe.
Kuna jamaa zangu wamemaliza Telecom pale CoeT na GPA za ukweli hadi leo hawana job, ka ni aje sema niwa direct kwako ni maengineer wenzako.
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
By Tungaraza Jr
Kuna jamaa zangu wamemaliza Telecom pale CoeT na GPA za ukweli hadi leo hawana job, ka ni aje sema niwa direct kwako ni maengineer wenzako.
Hao nao ni kundi la ict! wape pole, ila watapata wavumilie, sie hatuhusiki na ict kwa kampuni yetu, tuna ajili engineers yes ila wengi wana good background ya ict kama added advantage.
Katika ulimwengu wa sasa watu wanapenda kuajiri vijana wenye sifa basics kama vile ict knowlwdge, driving skill (manual car na siyo automatic cars tu) na typing skills angalau basic. Halafu sasa ndo watakuuliza wht type of an engineer are you (if chemical, electrical, mechanical, civil.
Kwa hiyo ukisoma telecom au computer engineering mara nyingi unajifunga na ajira ya aina fulani tu wakati siku hizi kila kona watu wanasoma ict just to supplement their qualification. Mie mwenyewe ilibidi nirudi ucc pale kupiga hivo vi cisco, mcsa na windows angalau shughuli zangu ziende poa, hivo mtu wa ict huwa hanipi taabu kabisa kwani i can also do his job very well.
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
By mamanalia
Hao nao ni kundi la ict! wape pole, ila watapata wavumilie, sie hatuhusiki na ict kwa kampuni yetu, tuna ajili engineers yes ila wengi wana good background ya ict kama added advantage.
Katika ulimwengu wa sasa watu wanapenda kuajiri vijana wenye sifa basics kama vile ict knowlwdge, driving skill (manual car na siyo automatic cars tu) na typing skills angalau basic. Halafu sasa ndo watakuuliza wht type of an engineer are you (if chemical, electrical, mechanical, civil.
Kwa hiyo ukisoma telecom au computer engineering mara nyingi unajifunga na ajira ya aina fulani tu wakati siku hizi kila kona watu wanasoma ict just to supplement their qualification. Mie mwenyewe ilibidi nirudi ucc pale kupiga hivo vi cisco, mcsa na windows angalau shughuli zangu ziende poa, hivo mtu wa ict huwa hanipi taabu kabisa kwani i can also do his job very well.
U talk too much coz uko na job, ila kilichokupeleka ucc ni GPA ya pass uliyonayo.
Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"
By Mayu
Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo
Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha
Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu
Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu
Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
,bora walimu na drs
Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi
Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
kwenye ajira
Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri
Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka
Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia
Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa
Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala
Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito
Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa
Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing
Waweza kutumia uzi huu au check na mimi kwa pm
Mawazo zaidi yanakaribishwa
Muhanga wa ajira
Serikali zilizomakini kama Srilanka na Zimbabwe zimewaandaa vijana wake kwa "Labour export market" Tanzania bado hata kumpa raia wake pass ya kusafiria haitaki. Kenya sasa hivi wamejazaa Sudan ya kusini sisi tunabaki kuongejea Idara ya Utumishi wa umma watangaze kazi
"Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker
Follow Us Here