Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      Mayu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2010
      Posts : 239
      Rep Power : 506
      Likes Received
      31
      Likes Given
      38

      Default Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo

      Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha

      Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
      Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu

      Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu

      Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
      ,bora walimu na drs

      Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi

      Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
      kwenye ajira
      Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri

      Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka

      Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia

      Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa

      Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala

      Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito

      Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa

      Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing

      Waweza kutumia uzi huu au check na mimi kwa pm

      Mawazo zaidi yanakaribishwa

      Muhanga wa ajira
      Last edited by Mayu; 17th August 2012 at 12:52.
      Ellie likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 671
      Rep Power : 582
      Likes Received
      242
      Likes Given
      75

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Wazo zuri sana.Anita kwa sasa moans ujuane na riz one

    4. #3
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Mkuu mawazo yako ni mazuri sana. Ila nikushauri kitu kimoja. Wewe unatakiwa kusonga mbele na wazo lako na kuhusu mtaji anza na aidea ambazo hazihitaji capital kubwa sana mfano sevice. Na unatakiwa KUCHOMA MELI MOTO Wagiriki wakati walop kuwa wakienda vitan enzi hizo walikuwa wanachoma moto meli zao mara tu walipo kuwa wakifika pwani ya eneo la vita hii iliwanya wagiriki kuwa na only one optional nayo ni ya kushinda vita tu. Kwa sababu hata wakisarenda hawataweza kurudi kwao make walisha choma meli zao zote so hii ya kuchoma moto iliwapa ari ya kupigana na mara zote walishinda.

      So na wewe huna budi kufumbia macho vikwazo vyote make vikwazo vingine husababishwa na marafiki na ndugu.
      Ellie and AKON like this.

    5. #4
      Kichope's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Poje sana,nami ni mhanga wa ajira ila sio mhasibu.

    6. #5
      obama wa bongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Location : WHITE HOUSE
      Posts : 1,031
      Rep Power : 621
      Likes Received
      274
      Likes Given
      229

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      jamani poleni sana wahanga ,ata mimi ni ex-mhanga maaana hua inaumaa sana kwa msomi kukaa nyumbani bila kufanya kazi ila msikate tamaa MUNGU atawasaidia!
      jambo mnalotaka kufanya kujiajiri ni zuri sana,maana hizi ajira za watu ,unabanwa unashindwa kufanya maandeleo yako binafsi unamtumikia mwajiri tu

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Madewa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th March 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 387
      Likes Received
      20
      Likes Given
      1

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Aksante sana kwa mtazamo wako mzuri.
      Mawazo yako ni ya kishujaa, na vijana wengi inabidi tuondokane na ule mtazamo wa kuajiriwa, na sasa tufikirie zaidi ni kwa vipi tunawezajiajiri wenyewe.
      Not always that something is better than nothing, sometimes nothing is better than something.
      Thanks once again.
      Regards.

    9. #7
      Mayu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2010
      Posts : 239
      Rep Power : 506
      Likes Received
      31
      Likes Given
      38

      Default

      Quote By KOMANDOO
      Mkuu mawazo yako ni mazuri sana. Ila nikushauri kitu kimoja. Wewe unatakiwa kusonga mbele na wazo lako na kuhusu mtaji anza na aidea ambazo hazihitaji capital kubwa sana mfano sevice. Na unatakiwa KUCHOMA MELI MOTO Wagiriki wakati walop kuwa wakienda vitan enzi hizo walikuwa wanachoma moto meli zao mara tu walipo kuwa wakifika pwani ya eneo la vita hii iliwanya wagiriki kuwa na only one optional nayo ni ya kushinda vita tu. Kwa sababu hata wakisarenda hawataweza kurudi kwao make walisha choma meli zao zote so hii ya kuchoma moto iliwapa ari ya kupigana na mara zote walishinda.

      So na wewe huna budi kufumbia macho vikwazo vyote make vikwazo vingine husababishwa na marafiki na ndugu.
      Thanx mkuu kwa ushauri wako murua

    10. #8
      Mayu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2010
      Posts : 239
      Rep Power : 506
      Likes Received
      31
      Likes Given
      38

      Default

      Quote By Madewa
      Aksante sana kwa mtazamo wako mzuri.
      Mawazo yako ni ya kishujaa, na vijana wengi inabidi tuondokane na ule mtazamo wa kuajiriwa, na sasa tufikirie zaidi ni kwa vipi tunawezajiajiri wenyewe.
      Not always that something is better than nothing, sometimes nothing is better than something.
      Thanks once again.
      Regards.
      Pamoja sana tu mkuu, nashukuru kwa maoni yako

    11. #9
      Mayu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2010
      Posts : 239
      Rep Power : 506
      Likes Received
      31
      Likes Given
      38

      Default

      Quote By obama wa bongo
      jamani poleni sana wahanga ,ata mimi ni ex-mhanga maaana hua inaumaa sana kwa msomi kukaa nyumbani bila kufanya kazi ila msikate tamaa MUNGU atawasaidia!
      jambo mnalotaka kufanya kujiajiri ni zuri sana,maana hizi ajira za watu ,unabanwa unashindwa kufanya maandeleo yako binafsi unamtumikia mwajiri tu
      Akhsante mkuu kwa muono wako,
      Hata hivyo nimegundua watu hatujiamini kwa kile tunafikiri tunaweza kufanya

      Hakuna kitu kibaya kama kudhani wazo langu litaonekana la kijinga, nimepokea baadhi ya PM lakini karibu wote wanataka kujua ninaplan gani badala ya kutaka kukutana na kuangalia tufanye nini

      Sita kata tamaa kamwe
      Hii ndio njia pekee ya uhakika ya kutoka

      Nakaribisha hata mawazo ya aina ya ujasiliamari tunaoweza kufanya

    12. #10
      chipalila1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 99
      Rep Power : 379
      Likes Received
      4
      Likes Given
      16

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By Mayu
      Akhsante mkuu kwa muono wako,
      Hata hivyo nimegundua watu hatujiamini kwa kile tunafikiri tunaweza kufanya

      Hakuna kitu kibaya kama kudhani wazo langu litaonekana la kijinga, nimepokea baadhi ya PM lakini karibu wote wanataka kujua ninaplan gani badala ya kutaka kukutana na kuangalia tufanye nini

      Sita kata tamaa kamwe
      Hii ndio njia pekee ya uhakika ya kutoka

      Nakaribisha hata mawazo ya aina ya ujasiliamari tunaoweza kufanya



      oi mi npo siriaz pia n mhanga wa ajra ka vp tuwasiliane ili tu emplement hyo plan

    13. #11
      MFYU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Location : DAR
      Posts : 239
      Rep Power : 395
      Likes Received
      22
      Likes Given
      41

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      ..Em in Guys.....any suggestion?!!

    14. #12
      Prince Hope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 407
      Rep Power : 425
      Likes Received
      69
      Likes Given
      24

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Kisaikolojia tu ulishafeli. Kwa leo hii tu, wapo wengi waliopata ajira, huo ni mtazamo wako binafsi. Then umeshapata wasaa na kutafakari kwa nini unafeli interviews zote ulizofanya? Isije ikawa Uli graduate with the aid of MIGI's
      Quote By Mayu
      Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo

      Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha

      Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
      Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu

      Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu

      Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
      ,bora walimu na drs

      Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi

      Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
      kwenye ajira
      Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri

      Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka

      Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia

      Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa

      Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala

      Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito

      Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa

      Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing

      Waweza kutumia uzi huu au check na mimi kwa pm

      Mawazo zaidi yanakaribishwa

      Muhanga wa ajira

    15. #13
      mamanalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2009
      Posts : 527
      Rep Power : 590
      Likes Received
      79
      Likes Given
      7

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      si kosa lenu wadogo, ni nchi kufikiri elimu ni masomo ya biashara na arts tu. kila chuo kinachoanzishwa ni arts na commerce na cku hizi imekuja hii wanaita ict.

      sie tulosoma science subjects like engineering tunakula raha tu, ajira zinatutafuta zenyewe.

    16. #14
      Tungaraza Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 481
      Likes Received
      45
      Likes Given
      82

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By mamanalia
      si kosa lenu wadogo, ni nchi kufikiri elimu ni masomo ya biashara na arts tu. kila chuo kinachoanzishwa ni arts na commerce na cku hizi imekuja hii wanaita ict.

      sie tulosoma science subjects like engineering tunakula raha tu, ajira zinatutafuta zenyewe.
      Kuna jamaa zangu wamemaliza Telecom pale CoeT na GPA za ukweli hadi leo hawana job, ka ni aje sema niwa direct kwako ni maengineer wenzako.

    17. #15
      mamanalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2009
      Posts : 527
      Rep Power : 590
      Likes Received
      79
      Likes Given
      7

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By Tungaraza Jr
      Kuna jamaa zangu wamemaliza Telecom pale CoeT na GPA za ukweli hadi leo hawana job, ka ni aje sema niwa direct kwako ni maengineer wenzako.
      Hao nao ni kundi la ict! wape pole, ila watapata wavumilie, sie hatuhusiki na ict kwa kampuni yetu, tuna ajili engineers yes ila wengi wana good background ya ict kama added advantage.
      Katika ulimwengu wa sasa watu wanapenda kuajiri vijana wenye sifa basics kama vile ict knowlwdge, driving skill (manual car na siyo automatic cars tu) na typing skills angalau basic. Halafu sasa ndo watakuuliza wht type of an engineer are you (if chemical, electrical, mechanical, civil.
      Kwa hiyo ukisoma telecom au computer engineering mara nyingi unajifunga na ajira ya aina fulani tu wakati siku hizi kila kona watu wanasoma ict just to supplement their qualification. Mie mwenyewe ilibidi nirudi ucc pale kupiga hivo vi cisco, mcsa na windows angalau shughuli zangu ziende poa, hivo mtu wa ict huwa hanipi taabu kabisa kwani i can also do his job very well.

    18. #16
      Tungaraza Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 481
      Likes Received
      45
      Likes Given
      82

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By mamanalia
      Hao nao ni kundi la ict! wape pole, ila watapata wavumilie, sie hatuhusiki na ict kwa kampuni yetu, tuna ajili engineers yes ila wengi wana good background ya ict kama added advantage.
      Katika ulimwengu wa sasa watu wanapenda kuajiri vijana wenye sifa basics kama vile ict knowlwdge, driving skill (manual car na siyo automatic cars tu) na typing skills angalau basic. Halafu sasa ndo watakuuliza wht type of an engineer are you (if chemical, electrical, mechanical, civil.
      Kwa hiyo ukisoma telecom au computer engineering mara nyingi unajifunga na ajira ya aina fulani tu wakati siku hizi kila kona watu wanasoma ict just to supplement their qualification. Mie mwenyewe ilibidi nirudi ucc pale kupiga hivo vi cisco, mcsa na windows angalau shughuli zangu ziende poa, hivo mtu wa ict huwa hanipi taabu kabisa kwani i can also do his job very well.

      U talk too much coz uko na job, ila kilichokupeleka ucc ni GPA ya pass uliyonayo.

    19. #17
      mamanalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2009
      Posts : 527
      Rep Power : 590
      Likes Received
      79
      Likes Given
      7

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By Tungaraza Jr
      U talk too much coz uko na job, ila kilichokupeleka ucc ni GPA ya pass uliyonayo.
      issue ni pass au sustainable job, anyway, acha hasira dogo. kama nawewe ni wa hayo makundi nilotaja vuta subira

    20. #18
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,664
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      544
      Likes Given
      419

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By Mayu
      Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo

      Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha

      Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
      Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu

      Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu

      Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
      ,bora walimu na drs

      Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi

      Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
      kwenye ajira
      Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri

      Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka

      Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia

      Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa

      Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala

      Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito

      Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa

      Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing

      Waweza kutumia uzi huu au check na mimi kwa pm

      Mawazo zaidi yanakaribishwa

      Muhanga wa ajira
      Serikali zilizomakini kama Srilanka na Zimbabwe zimewaandaa vijana wake kwa "Labour export market" Tanzania bado hata kumpa raia wake pass ya kusafiria haitaki. Kenya sasa hivi wamejazaa Sudan ya kusini sisi tunabaki kuongejea Idara ya Utumishi wa umma watangaze kazi
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    21. #19
      Tungaraza Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 481
      Likes Received
      45
      Likes Given
      82

      Default Re: Job seeker; hali ni mbaya, we better think outside the box "employment"

      Quote By mamanalia
      issue ni pass au sustainable job, anyway, acha hasira dogo. kama nawewe ni wa hayo makundi nilotaja vuta subira
      God will lead us in from roots to the tops.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...