Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

      Wakuu kuna mkanaganyiko mkubwa sana kati ya AJIRA NA KAZI, na ukisoma baadhi ya vitabu vitakuambia hakuna tofauti ila baadhi vinakuambia kuna tofauti kubwa sana,

      KWA NILIVYO KUTA TOFAUTI

      1. KAZI- Kazi ni ambayo unasomea Chuoni au shule yoyote ile

      1. AJIRA- Hapa ni mahali pa kufanyia hiyo kazi yako




      2. KAZI- Hakuna mtu anaye weza kukufukuza/kukuchisha kazi kwa sababu kazi unayo wewe na uliisomea wewe mwenyewe, MUNGU PEKEE NDO ANAWEZA SITISHA KAZI YAKO

      2. AJIRA- Ajira ndo huwa zinasitishwa au mtu anaashishwa ajira yake na si kazi,



      3. KAZI- Kilichopo sio ukosefu wa kazi bali ni ukosefu wa mahali pa kufanyia hiyo kazi means AJRIA, so ajira ndo hazipatikani ila KAZI UNAZYO WEWE MWENYEWE

      3. AJIRA- Ajira ndo hazipatikani ila kazi zipo

      SO hakuna mtu anaye weza kukuachisha/ Kukufukuza kazi yako zaidi ya MUNGU ANAPO KUWA AMEKUITA MBELE ZA HAKI

    2. Study Abroad

    3. #2
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 528
      Likes Received
      167
      Likes Given
      158

      Default Re: Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

      tafakuri uje na hoja nyingine
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    4. #3
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

      yani wewe umekosa chakupost shiiiiiiit

    5. #4
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,075
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      1194

      Default Re: Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

      Quote By Amsterdam
      yani wewe umekosa chakupost shiiiiiiit
      Au ndio akili za ki_komandoo......lo!
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    6. #5
      Malunkwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 260
      Rep Power : 474
      Likes Received
      44
      Likes Given
      16

      Default Re: Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

      kwahiyo unataka kutuambia nini?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Wajad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 429
      Rep Power : 1306
      Likes Received
      113
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli kuhusu Kazi na Ajira

      Hii ungepeleka jukwaa la lugha.

    9. #7
      KANCHI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2011
      Posts : 980
      Rep Power : 586
      Likes Received
      91
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Wajad
      Hii ungepeleka jukwaa la lugha.
      Sawa kabisa.

    10. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...