Wakuu nina masters ya water Engineering toka ughaibuni,sasa baada ya kutua bongo,sijui bado michongo ya kazi inakuwaje,Please anayeweza kunipa hata ushauri nianzie wapi ani-PM manake sielewi haya mambo yatakuwaje.Naomba msaada wakuu.
Re: Natafuta kazi nina masters ya water Engineering
By engineerm
Wakuu nina masters ya water Engineering toka ughaibuni,sasa baada ya kutua bongo,sijui bado michongo ya kazi inakuwaje,Please anayeweza kunipa hata ushauri nianzie wapi ani-PM manake sielewi haya mambo yatakuwaje.Naomba msaada wakuu.
Nina uzoefu wa kutafuta kazi kwa miaka mi3 sasa, sample za Cv 18, Application 27 na Statement of Purpose 21 na cha kushangaza nilitumia Burchelor nikakosa. NIkatafuta CPA hadi nimepata na bado nasugua Bench ila maisha ndo hayahaya njoo nikupe maujuuzi ya kitaa ni elimu ya PhD sema hakuna Thesis ( Xcul after School)....
"Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"
Re: Natafuta kazi nina masters ya water Engineering
By Mzalendo JR
Nina uzoefu wa kutafuta kazi kwa miaka mi3 sasa, sample za Cv 18, Application 27 na Statement of Purpose 21 na cha kushangaza nilitumia Burchelor nikakosa. NIkatafuta CPA hadi nimepata na bado nasugua Bench ila maisha ndo hayahaya njoo nikupe maujuuzi ya kitaa ni elimu ya PhD sema hakuna Thesis ( Xcul after School)....
Follow Us Here