Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: hombolo vipi

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      kizerui's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 19
      Rep Power : 343
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Post hombolo vipi

      mimi ni miongoni mwa wasailiwa wa chuo cha hombolo naulizia je hombolo hajafunguka maana nina interview tarehe 28 na 31 mwezi huu sehemu nyingine lengo na nia ni kwamba kama hombolo wamenipatia maisha niwaachie wanaj4 wengine waende wakajaribu bahati yao, but to me i can say that an interview was fair so let put all duah to ALLAH.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 397
      Likes Received
      40
      Likes Given
      25

      Default Re: hombolo vipi

      Acha umbea uliambiwa baada ya mwezi watapiga simu, wataweka kwenye mtandao. Unajipa mahope wakati mtihani huo huo wamefanya Hombolo, Mipango, TAEC na COASCO so high competion baba>
      "WHEN U GO PLACES, GO PLACES IN STYLE"

    4. #3
      Kikomelo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 405
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bandabichi
      Acha umbea uliambiwa baada ya mwezi watapiga simu, wataweka kwenye mtandao. Unajipa mahope wakati mtihani huo huo wamefanya Hombolo, Mipango, TAEC na COASCO so high competion baba>
      Sasa kama wamefanya huo COASCO, TAEC na MIPANGO, yeye ina muhusu nini? wivu tu unakusumbua.

    5. #4
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 397
      Likes Received
      40
      Likes Given
      25

      Default Re: hombolo vipi

      Quote By Kikomelo
      Sasa kama wamefanya huo COASCO, TAEC na MIPANGO, yeye ina muhusu nini? wivu tu unakusumbua.

      Sio wivu ndg yangu ni kutokusikiliza maagizo na mimi nilipiga Written mpaka oral huko Homboro na ulipokuwa unaondoka wanasisitiza majibu baada ya mwezi kinachomleta hapa ni nini ndugu yangu. wakati Interview ilikuwa trh 08/08 na trh 10/08 wakati ndo wiki imeisha. WIVU Wa nn bosi.
      "WHEN U GO PLACES, GO PLACES IN STYLE"

    6. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...