Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      mabwepand's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 352
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

      Kwa wale wote ambao wameomba kazi kupitia secretarite ya Utumish, tafadhali uwe aware na idadi ya watu wanaohitajika katika hio post husika kwako. La sivyo unaweza kutapoteza nauli ,na wengi mtakuwa na madeni ya kukopa kwa ajili ya safari. Ratio ya kuitwa kwa oral interview ni 1:3 yaani nafasi moja kwa watu watatu kwa oral interview, baada ya kufanya written interview hivo kuwa muangalifu kidogo au kuwa mvulivu.
      MwanaCBE and Thesammanger like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

      Quote By mabwepand
      Kwa wale wote ambao wameomba kazi kupitia secretarite ya Utumish, tafadhali uwe aware na idadi ya watu wanaohitajika katika hio post husika kwako. La sivyo unaweza kutapoteza nauli ,na wengi mtakuwa na madeni ya kukopa kwa ajili ya safari. Ratio ya kuitwa kwa oral interview ni 1:3 yaani nafasi moja kwa watu watatu kwa oral interview, baada ya kufanya written interview hivo kuwa muangalifu kidogo au kuwa mvulivu.
      duh! kwani hawa nhif nao watu wameomba kwa kutumia utumishi? mana tanapa wao pia si zani kama wanatumia utumishi pia! kwanza hawa nhif interview zao zinaendeleaje? mana mkuu unaweza kupoteza nauli ivi ivi na madeni juu kati ya watu 1000 mwaitajika 4. duuh! mtihani
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    4. #3
      YOSAYOSA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 353
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

      mbona sijaona majina ya walio itwa,mwenye nayo naomba atupie hapa jf

    5. #4
      Rweza79's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 382
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default

      Unachokisema mtaalamu ni sahihi kabisa kwani mm yamenikuta katika interv. Ya TAEC kule A-town, nimejikuta napoteza nauli yangu bulee kumbe kuna watu wanakazi zao tayari, tulikuwa watu 56 na wanaohitajika ni watu 3 tu. Sintouzulia interv. Za namna hii ever.

    6. #5
      Mr Anold's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 382
      Likes Received
      5
      Likes Given
      6

      Default Re: ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

      Guys ukiitwa kwenye interview nenda, kwani utakupata kazi kupitia interview au jiajiri.
      I suggest that interview inakupa experience na challange na hata kazi, la muhimu ni kujiamini na kufikiri kuwa wewe ndiyo una vigezo vya kuajiriwa ila endapo hujaitwa ujue wajanja zaidi yako walikuwepo pia.
      Huna akili kuliko wote na pia wewe sio kilaza kuliko wote.

      Athanteni sana kwa kuja
      Guys ukiitwa kwenye interview nenda, kwani utakupata kazi kupitia interview au jiajiri.
      I suggest that interview inakupa experience na challange na hata kazi, la muhimu ni kujiamini na kufikiri kuwa wewe ndiyo una vigezo vya kuajiriwa ila endapo hujaitwa ujue wajanja zaidi yako walikuwepo pia.
      Huna akili kuliko wote na pia wewe sio kilaza kuliko wote.

      Athanteni sana kwa kuja

    7. Study Abroad

    8. #6
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default Re: ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

      Unaelezea nn Mkuu?
      Who Jah bless, No one Curse!

    9. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...