Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Kanoutinho's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd July 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 345
      Likes Received
      0
      Likes Given
      5

      Default Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

      Sasa hawa NHIF walihesabu tu hizo appl letter na kujua walioomba? Au wanao watu wao ndoo maana hata hawakuchuja?

      NBAA inamaana ktk wa2 700 mpaka 900 waliofanya hiyo interview Je hamna hata wa2 20 waliopata max za juu sawa yaani zikafanana??

      NB: NI BORA HIZI KAMPUNI ZIKAWAZI NAITA WALE BEST 20 KAMA WANAITAJI 10 MPAKA 15.
      - NINI UMUHIMU WA KUAMBATANISHA VYETI NA TRANSCRIPT, WORKING XPRNC.


      "NASUBIRI BOMU LA WASIO NA AJIRA LILIPUKE"

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kongi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 358
      Likes Received
      3
      Likes Given
      63

      Default Re: Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

      Quote By Kanoutinho
      Sasa hawa NHIF walihesabu tu hizo appl letter na kujua walioomba? Au wanao watu wao ndoo maana hata hawakuchuja?

      NBAA inamaana ktk wa2 700 mpaka 900 waliofanya hiyo interview Je hamna hata wa2 20 waliopata max za juu sawa yaani zikafanana??

      NB: NI BORA HIZI KAMPUNI ZIKAWAZI NAITA WALE BEST 20 KAMA WANAITAJI 10 MPAKA 15.
      - NINI UMUHIMU WA KUAMBATANISHA VYETI NA TRANSCRIPT, WORKING XPRNC.


      "NASUBIRI BOMU LA WASIO NA AJIRA LILIPUKE"
      Tena huu mlipuko utakuwa zaidi ya Tunisia na Misri.

    4. #3
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 548
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

      mmh! nhif? tanapa? watu wanaenda kwenye interview basi tu, tutafanya nini,ila watu 1000 kwa wa 4 tu!
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    5. #4
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 304
      Rep Power : 404
      Likes Received
      31
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Kongi
      Tena huu mlipuko utakuwa zaidi ya Tunisia na Misri.
      Na bora lilipuke tu,maana tushachoka na huu usanii

    6. #5
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 397
      Likes Received
      41
      Likes Given
      25

      Default Re: Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

      COASCO unaambiwa wamerudia mtihani wa chuo cha HOMBOROfor written. Watu full mabanda.
      "WHEN U GO PLACES, GO PLACES IN STYLE"

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mohamedmussa Ng'onye's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 356
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

      hahaha isiwashangaze..tushafanya ZA ivyo sn.. muhim kuomba MUNGU na kueondeleZA harakat

    9. #7
      YOSAYOSA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 354
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

      tutapambana mpaka kieleweke,tusikate tamaa wakubwa

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...