Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Electrical Engineer wa kujitolea

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 38 of 38
    1. #1
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Electrical Engineer wa kujitolea

      Ndugu wanajamvi, Mimi ni mhandisi umeme mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya kumi (10) katika viwanda na migodini. Ninahitaji kufanya kazi katika construction industy kwa kujitolea ikiwa ni sehemu ya kuongeza uzoefu (niliwahi kuwa katika sector hiyo kwa miezi tisa siku za nyuma) vilevile katika sector hiyo na kukuza zaidi taaluma yangu. Kwa mwenye kunihitaji please tuwasiliane.Ahsante.
      Last edited by kipipili; 13th August 2012 at 20:01.
      NEGLIGIBLE likes this.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By Who Cares?
      ahahahaa...MKUU NAONA KAMA UNATANIA...hivi nikikupa kazi mwisho wa mwezi itakuwaje??...na familia yako unaiaga unaenda kazini mara safari site sumbawanga unarudi after 5 days na mwisho wa mwezi mama anakuangalia tuu mzee wa ku-voluntia"???... sema bei yako bana acha masikhara. KAZI BILA MSHAHARA NI NGUMU KIDOGO.
      hahaahahaha who cares? mkuu sumbawanga si kuna posho. Siyo kwamba sitaki malipo bali niko tayari hata kwa kujitolea mazee
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    4. #22
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      still waiting....
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    5. #23
      Mshindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Location : Right Here!!
      Posts : 436
      Rep Power : 611
      Likes Received
      145
      Likes Given
      194

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Mhandisi hebu nenda Mollel Electrical Contractors pale kinondoni msese; au Derm Electrical Contractors pale Derm house kijitonyama (Hao ni First class Electrical contractors), natumaini ukijieleza vizuri utapata nafasi au utapata direction from there. Jaribu pia CSI na DB Shapriya;kwa mtu mwenye background ya umeme wa viwandani inaweza kukufaa,hawa jamaa wanafanya sana construction ya industrial buildings (Electrical installation part).
      Goodluck kipipili hope huna kipipili (if you know what I mean)
      kipipili likes this.
      Sent from @non-smart phone.....bear with me

    6. #24
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By Mshindo
      Mhandisi hebu nenda Mollel Electrical Contractors pale kinondoni msese; au Derm Electrical Contractors pale Derm house kijitonyama (Hao ni First class Electrical contractors), natumaini ukijieleza vizuri utapata nafasi au utapata direction from there. Jaribu pia CSI na DB Shapriya;kwa mtu mwenye background ya umeme wa viwandani inaweza kukufaa,hawa jamaa wanafanya sana construction ya industrial buildings (Electrical installation part).
      Goodluck kipipili hope huna kipipili (if you know what I mean)
      asante mkuu kwa maelekezo. sina kipipili kabisa.
      Mshindo likes this.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    7. #25
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      bado nawasikilizia
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    8. Miaka 50

    9. #26
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By The Boss
      weka simu yako hapa
      tunaweza kukupigia
      The Boss nilishaku PM namba ya simu, vipi bado unasherehekea eid?
      The Boss likes this.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    10. #27
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21611
      Likes Received
      13482
      Likes Given
      17780

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By kipipili
      The Boss nilishaku PM namba ya simu, vipi bado unasherehekea eid?
      nitakucheki
      ubize kidoogo
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    11. #28
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By The Boss
      nitakucheki
      ubize kidoogo
      ok nashukuru
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    12. #29
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      nasubiri kama sensa
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    13. #30
      Opaque's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2008
      Posts : 953
      Rep Power : 729
      Likes Received
      227
      Likes Given
      84

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Nakushauri nenda ERB ukajisajili kama Graduate Engineer (inayopatikana within 3 months tangu uombe, kama hakuna mabadiliko). Then ukishapata registration, apply kuingia katika programme moja inayoitwa SEAP, huko utakuwa na uwezo wa kupokelewa na makampuni mengi tu ukiwa kama mhandisi aliye field training. Ukiona umepata uzoefu wako, unaweza kusepa, au unaweza ukaamua kumalizia SEAP ili ku-upgrade status yako ya ERB registration.
      kipipili likes this.



    14. #31
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By Opaque
      Nakushauri nenda ERB ukajisajili kama Graduate Engineer (inayopatikana within 3 months tangu uombe, kama hakuna mabadiliko). Then ukishapata registration, apply kuingia katika programme moja inayoitwa SEAP, huko utakuwa na uwezo wa kupokelewa na makampuni mengi tu ukiwa kama mhandisi aliye field training. Ukiona umepata uzoefu wako, unaweza kusepa, au unaweza ukaamua kumalizia SEAP ili ku-upgrade status yako ya ERB registration.
      asante, nilishasajili graduate zamani kidogo sasa hivi niko kwenye mchakato wa professional.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    15. #32
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      still waiting
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    16. #33
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      sijakata tamaa bado
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    17. #34
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      The Boss upo?
      The Boss likes this.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    18. #35
      kokwemage's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 35
      Rep Power : 437
      Likes Received
      10
      Likes Given
      1

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      MIMI NI ENGINEER KAMA WEWE NAMAANISHA ELECTRICAL, NI CONSULTANT NIMEREGISTER LEVEL ZOTE ZA ERB, NIMEFUNGUA KAMPUNI YA CONSULTING KWENYE UMEME NATAKA SANA WATU WA AINA YAKO NIWAFUNDISHE KAZI ZA DESIGN NA CONSTRUCTION ILI TUJIPANGE KUPIGA KAZI, TATIZO HUJAWEKA NAMBA AU EMAIL MI NAPATIKANA KWA NAMBA 0718 754 694 AU [email protected] . KAMA NI KWA KUJITOLEA MI NIPO TAYARI KUKUPA SUPPORT
      kipipili and Akami like this.

    19. #36
      kokwemage's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 35
      Rep Power : 437
      Likes Received
      10
      Likes Given
      1

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Piga namba 0718 754694 au 0776754694 tuongee nitakupa support
      kipipili likes this.

    20. #37
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By kokwemage
      Piga namba 0718 754694 au 0776754694 tuongee nitakupa support
      Noted with thanks
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    21. #38
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Electrical Engineer wa kujitolea

      Quote By kokwemage
      Piga namba 0718 754694 au 0776754694 tuongee nitakupa support
      nimejaribu kukupigia kwa namba zote haupatikani. namba yangu 0774605724.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...