Ndugu wanajamvi, Mimi ni mhandisi umeme mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya kumi (10) katika viwanda na migodini. Ninahitaji kufanya kazi katika construction industy kwa kujitolea ikiwa ni sehemu ya kuongeza uzoefu (niliwahi kuwa katika sector hiyo kwa miezi tisa siku za nyuma) vilevile katika sector hiyo na kukuza zaidi taaluma yangu. Kwa mwenye kunihitaji please tuwasiliane.Ahsante.

Reply With Quote


Follow Us Here