Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      amigooo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 370
      Likes Received
      13
      Likes Given
      2

      Default Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Nafasi muhimu kwa ajili ya mjasiriamali zipo
      Tunafanya Business na kampuni kubwa duniani ambayo ina matawi mengi sana na kwa Tanzania yapo matawi matano.
      Aina ya Business: Multilevel Business
      Sifa:
      Mtu yeyote mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 mwenye kupenda yafuatayo:
      1.Kipato cha ziada
      2.Uhuru wa kifedha
      3.Kuwa na biashara yako mwenyewe
      4.Kujiendeleza
      5.Kusaidia wengine
      6.Kukutana na watu wapya
      7.Kutopata shida baada ya kustaafu/kushindwa kufanya kazi
      8.Likizo
      Elimu: Kuanzia kidato cha 4 na kuendelea
      NB:Usikubali kukaa na kulalamika kuwa maisha hayaendi bali fursa zipo zitumie kwa wakati
      Mwisho wa tangazo: 3rd September 2012
      Kwa mawasilaino zaidi tuandikie [email protected] Cell:0713889162
      Last edited by amigooo; 6th September 2012 at 18:37.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Masangutu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th July 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 347
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Mkuu hebu weka wazi!mnajihusisha na nini?isijekuwa yalemambo ya kubebeshana mabeseni umachinga!na swaumu hii jua kali..

    4. #3
      funny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 351
      Likes Received
      3
      Likes Given
      46

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      tuweke wazi. mnashughulika na biashara gani?

    5. #4
      Babu wa Loliondo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Location : DSM
      Posts : 57
      Rep Power : 380
      Likes Received
      6
      Likes Given
      7

      Default

      Hio ni Network marketing kama uko tayari muone jamaa kwa biashara,ila inahitaji moyo sana kuifanya hio biashara ni ngum sana,kwan bidhaa zake ni ghali mno pindi unapotaka kuziuza.......!

    6. #5
      AKON's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 141
      Rep Power : 396
      Likes Received
      28
      Likes Given
      51

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      wat multilevel business is??

      multilevel marketing businesses. here a business recruits individuals to sell its products or services for a cut of their profits. These individuals, in turn, recruit others to do the something, also for a cut of their profits. The process usually continues, in a pyramidal fashion, for 4 to 10 levels, with higher-level individuals earning more money as the lower levels fill with new recruits.


    7. Miaka 50

    8. #6
      kajojo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 354
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      me nshawah kufanya hizo kaz, ni ngumu asikwambie m2, coz bidhaa zao ni ghali kias cha kukufanya ukose wateja, na hal ya wa2 weng tz si ya kumshawish m2 aache kununua ma2mitiz muhimu anunue hizo product, yan lazima zikudodee.

    9. #7
      adataro's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 346
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Ujasiriamali unahusika sana hasa kwa mpenda mafanikio katika maisha. Nitakucheki mkuu niweze kuelewa namna kazi inavyofanyika

      Rgds,

    10. #8
      Tram Almasi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : Marsabit
      Posts : 753
      Rep Power : 672
      Likes Received
      217
      Likes Given
      92

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Quote By funny
      tuweke wazi. mnashughulika na biashara gani?
      Oh yes Mkuu, it is good to know!
      "YouR MoST UNhaPPy CuSToMers ArE YoUr GREateST SOurCE Of LEarNInG"- BiLL GaTEs

    11. #9
      Mapujds's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,282
      Rep Power : 667
      Likes Received
      118
      Likes Given
      6

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Kazi ni kazi jamani

    12. #10
      Caroline Danzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,719
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      652
      Likes Given
      214

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Tehe tehe tehe tehe! ngoja nikae kimya nisijeharibu utaratibu!

    13. #11
      M-pesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th September 2011
      Posts : 598
      Rep Power : 521
      Likes Received
      106
      Likes Given
      20

      Default

      Acha kuwadanganya watu, wewe ni mtu mmoja unatumia ID mbili tofauti! Nimeona post yako kwenye uzi mwingine na email address uliyotumia ni hiyohiyo iliyotumika hapo juu.
      Quote By adataro
      Ujasiriamali unahusika sana hasa kwa mpenda mafanikio katika maisha. Nitakucheki mkuu niweze kuelewa namna kazi inavyofanyika

      Rgds,

    14. #12
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Pyramid scheme, wanatajirika wao tu, wewe unadoda na bidhaa zako ambazo hazina market.
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    15. #13
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 632
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Huu ni usanii mkubwa sana, Halafu hii ishu ya kusema KAMPUNI KUBWA YA KIMTAIFA, kampuni kubwa zinajulikana na kila mtu,

      Hiyo biashara ni biashara kichaa, Ukifika Ofisini kwao kwa mara ya kwanza watakupiga shule ya KUFA MTU, halafu watakuwekea DVD za kutunga za watu waliofanikiwa, utaona mtu alikuwa FUNDI VIATU NA SASA ANAMILIKI V8, ila hiszo story zote ni za kutunga ili kuvutia watu, hakuna kitu hapo

    16. #14
      amigooo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 370
      Likes Received
      13
      Likes Given
      2

      Default Re: Nafasi za wajasiriamali zinahitajika

      Hizo comment zote zipo sahihi lkn kwa kila mmoja na upeo wake.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...