Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1329
      Likes Given
      5608

      Default Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Kuna kijana mmoja alitokea hapa kwenye kibarua changu akanielezea anahitaji ajira. Akaacha wasifu wake CV nikapitia nikaona ana degree Bachelor of Business Administration kwa mujibu wa CV. Sasa nikazungumza na mkuu wangu wa kuajiri akasema poa mlete tutamfanyia "interview", sasa nimewasiliana na huyu kijana anipe vyeti vyake alivyomalizia chuo na shule zote zlizopita. Bahati mbaya hana cheti cha chuo, yeye ameniambia hajapewa.

      Nikaomba anipe japo yale majibu ya mwisho "Transcript" na yenyewe hana. Nikamwambia anipe vyeti vyoote alivyokuwa navyo nione tutafanyaje, sasa hapa akaniletea cheti Form Six ambacho amefaulu vizuri kunishinda hata mimi enzi zangu, pamoja na barua ambayo imeandikwa kama nilivyonukuu hapo chini. Je ungekuwa wewe ungefanyaje? Mind you kwamba nikimpeleka kule mwisho wa siku mimi nakuwa kama referee wake na ninampigia chapuo kama mtu ninayemjua ingawa hata simjui kabisa. Na kwa kifupi anaonesha anaitaka sana kazi.Na sijui alimaliza hicho chuo au aliishia kati. Hapa chini ni kama alivyoandika yeye sijaongeza sijapunguza hakuweka hata nukta moja au mkato na hakusaini.

      I (His name) i am pursued batcher of business administrationat univesty of ........... here it is the letter to request to your that I will submit my universty results which is not found in my certificaties and I fail to submit it dut to the problems which I was faced after complete my final examination because my father was die so I was fail to wait for such cerificaties. Please Sir I beg you to accept my application. Im confident I will perform well if my application will be considered.

      Yours

      .....................


    2. Miaka 50

    3. #2
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,145
      Rep Power : 46180
      Likes Received
      6456
      Likes Given
      5321

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      hata hicho cha form six inawezekana ni magumashi hebu kichunguze vyema


      my father was die so

      Duh hapo ni form six gani amemaliza aise Maundumula
      Maundumula likes this.
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    4. #3
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Mwandikie barua, umpe asign then uipeleke kwa bosi.
      Maundumula likes this.

    5. #4
      Mwakabizzle's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 405
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Itabidi umpeleke huko kwa bosi akajieleze mwenyewe kama amefoji hiyo degree itajulikana hukohuko!

    6. #5
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1329
      Likes Given
      5608

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Quote By Catherine
      Mwandikie barua, umpe asign then uipeleke kwa bosi.
      Catherine,

      Mwisho wa siku watamuweka mtu kati kwenye Interview atakuwa peke yake. Na akizingua wataanza kuulizana imekuaje huyu kaletwa hapa?

    7. Study Abroad

    8. #6
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1329
      Likes Given
      5608

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Quote By Mr Rocky
      hata hicho cha form six inawezekana ni magumashi hebu kichunguze vyema


      my father was die so

      Duh hapo ni form six gani amemaliza aise Maundumula
      Mr Rocky,

      Hii kitu sijaielewa maana amemaliza katika mojawapo ya shule kongwe ya serikali ambayo hata mzee wangu alisoma.
      Mr Rocky likes this.

    9. #7
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,479
      Rep Power : 896
      Likes Received
      506
      Likes Given
      74

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Jamani ki GB ni wito au kipaji?

    10. #8
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1329
      Likes Given
      5608

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Quote By Mwakabizzle
      Itabidi umpeleke huko kwa bosi akajieleze mwenyewe kama amefoji hiyo degree itajulikana hukohuko!
      Unafikiri mimi nikimpeleka nikamtambulisha kama namfahamu vizuri nikaandika kabisa na reccomendation halafu wakabaini amefoji next time nikiwapelekea mtu mwengine watampokea?

    11. #9
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default

      Quote By Maundumula
      Catherine,

      Mwisho wa siku watamuweka mtu kati kwenye Interview atakuwa peke yake. Na akizingua wataanza kuulizana imekuaje huyu kaletwa hapa?
      kumbe unaweza kufikiria mbali! Watu wanasaidiwa, wanabebwa ila ni lazima wawe wanabebeka.
      Maundumula likes this.

    12. #10
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,145
      Rep Power : 46180
      Likes Received
      6456
      Likes Given
      5321

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Quote By Maundumula
      Mr Rocky,

      Hii kitu sijaielewa maana amemaliza katika mojawapo ya shule kongwe ya serikali ambayo hata mzee wangu alisoma.

      Mkuu Maundumula chunguz ahicho cheti vyema
      Kumaliza katika shule kongwe sio tija swali ni je alisoma kwenye hiyo shule kweli
      Kuna vitu basic unaweza kumuuliza wewe mwenyewe maana umeenda shule ambavyo unaweza kupima uelewa wake wa mambo kabla hujampeleka hata kwenye interview
      So chukua muda wako na kaa nae chini mfanyie interview ya kwako kwanza na then ndio ujihakikishie
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    13. #11
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1329
      Likes Given
      5608

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Quote By Mr Rocky
      Mkuu Maundumula chunguz ahicho cheti vyema
      Kumaliza katika shule kongwe sio tija swali ni je alisoma kwenye hiyo shule kweli
      Kuna vitu basic unaweza kumuuliza wewe mwenyewe maana umeenda shule ambavyo unaweza kupima uelewa wake wa mambo kabla hujampeleka hata kwenye interview
      So chukua muda wako na kaa nae chini mfanyie interview ya kwako kwanza na then ndio ujihakikishie
      Mr Rocky,

      Umeongea la maana sana aisee, ngoja nikae nae chini nimsikilize pengine kiingereza cha kuongea anaweza vizuri kuliko kuandika. Au pengine ana vitu extra ambavyo nitaviona tu nikimuuliza maswali mengi mengi. Nitamu interview then nita update.
      Mr Rocky likes this.

    14. #12
      Dr. Wansegamila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : Kwetu pazuri
      Posts : 344
      Rep Power : 2080
      Likes Received
      143
      Likes Given
      88

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Mkuu ya nini kujitia aibu? huyo anaonekana ni magumashi mwanzo mwisho................ utaonekana mtu mzima ovyo na watu unaoheshimiana nao. Then next time utashindwa kupewa favour kwa sababu watajua 'huyu hana maana, ovyo tu'
      Maundumula likes this.
      'HAKIMU AKIWA FISI, HUKUMU YA MBUZI NI KIFO'

    15. #13
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 442
      Likes Received
      123
      Likes Given
      38

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Duh!! Luck is when opportunity meets quality and qualification. Granted, the young man is lucky to have you as a referee. But I just cant imagine a University graduate writing such a nauseating English!!!

    16. #14
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,031
      Rep Power : 5339
      Likes Received
      1402
      Likes Given
      1624

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Mkuu wangu Maundumula,
      Be careful na huyo mtu......am convinced kwamba huyo mtu anafahamu anachokifanya; ole wako ama ole wenu mzani huyo jamaa ni kilaza! Si ajabu hata hapa anafuatilia thread hii!

      Let's be honest...kwa mtu mwenye kiingereza kibovu kama hicho anatarajiwa awe hata form IV hajafika. Jiulize, ameitoa wapi confidence ya kujifanya ana degree ya Business Administration! I repeat, anafahamu anachokifanya! Kama huyo jamaa angejinadi kwamba ni Engineer, nisingeshangaa! Let's say alisema ni Mechanical Engineer...so hata kama hana degree ya hiyo fani basi ningehisi labda anajivuna yupo fit practically! c unajua mafundi wetu wa gereji bubu? Unakuta mtu hata FTC hana, lakini yupo fit mbaya! Lakini jamaa anasema ana BA!!! Ujasiri huo ameutoa wapi? Look here, Certificate hana; sawa! Ndo hata transcript?! Be careful broda, msije mkadondokewa na jumba bovu; jamaa yupo kazini huyo!
      Maundumula likes this.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    17. #15
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 304
      Rep Power : 403
      Likes Received
      31
      Likes Given
      65

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      tembea uone

    18. #16
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,081
      Rep Power : 41561
      Likes Received
      5982
      Likes Given
      1051

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Kiingereza ni janga la taifa, kama kazi yenyewe itahusisha kiingereza hiyo barua tu mushkeli, achilia mbali hivyo vyeti.

      Na hapa linaweza likawa suala kubwa zaidi ya Kiingereza.

      Maana inaonekana ama hajui kama Kiingereza chake cha kuunga unga, ama anajua lakini kakosa hata akili ya kutafuta mtu (au hata computer) kufanya spellchecking and grammar correction, au anajua lakini ni mlipuaji.

      Lakini labda ni kitu cha kawaida bongo mpaka kinazoeleka.Hata wewe mwenyewe mkuu umetaja vyeti tu hujataja hili kama issue (unless kuonyesha barua ilivyoandikwa ndo una solicit input).

      Alikuja jioni kisomo mwingine earlier today anatafuta scholarship ya masters degree in Education na madubwana kochokocho.

      Nikamwambia kwa kiingereza hiki bora tafuta scholarship ya English course kwanza.
      Maundumula likes this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    19. #17
      Edoedward1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 314
      Rep Power : 419
      Likes Received
      54
      Likes Given
      142

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Damn this is the world where evry one claim to be speakn the truth

    20. #18
      MKATA KIU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 1,376
      Rep Power : 767
      Likes Received
      906
      Likes Given
      27

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Na kazi za siku hizi zinafanywa kwa kuambatana na outlook sijui itakuaje? Official mails ataandikaje maana zinatembea kwa kuweka watu kibao in copy, sasa si ndo kuaibishana huko
      Maundumula likes this.

    21. #19
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,521
      Rep Power : 6985
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      577

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      huyo anafafanana sana na zinduna binti aliyehojiwa na clouds tv anaulizwa kama umemaliza form 4 ulifanyia mtihani masomo mangapi? eti anajibu manne na alazimisha kabisa.mkuu huyo mtu atavuruga heshima yako
      Maundumula likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    22. #20
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,089
      Rep Power : 27012
      Likes Received
      8208
      Likes Given
      17307

      Default Re: Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?

      Mnashangaa nini wakati kuna watu wanaoshikilia nafasi za juu serikalini na kiingereza kinawpa shida.... tena wenginei wanajiita madaktari..................... ............!
      Kama anaonekana ni mchapa kazi, mpe kazi bana achana na majungu....................... .LOL
      Maundumula likes this.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...