Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      MR.LEO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 129
      Rep Power : 375
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Jamani naomba mnipe ushauri:
      Toka nimeanza kutuma maombi ya kazi katika taasisi mbalimbali za ummma na binafsi sijaitwa interview hata moja.
      Nilipoongea na rafiki yangu mmoja akaniuliza kama huwa nacertify copy za vyeti vyangu au lah!
      Nikamjibu sijawaì kufanya hivyo,ndipo akaniambia hiyo inaweza ikawa sababu.
      SASA WADAU ZILE NAFASI 2000 ZA utumishi niliomba bila kucertify,ina maana nazo sitaitwa kwenye interview,,,??
      Msaada jaman,,,!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,664
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      544
      Likes Given
      418

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Tafuta ushauri vitu gani vinatakiwa kwenye "CV" na nini havitakiwi. Mfano kutaja kabila lako, kutaja jinsia yako, kutaja dini yako hivyo vyote havitakiwi. Zaidi sana kuna "cover letter" sijui kama unakumbuka kuweka nayo ni muhimu kuelezea uwezo wako kwenye hiyo kazi unayoomba
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    4. #3
      FAMILY LAW's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th July 2012
      Posts : 53
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      17

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      let's wait and see., time will tel lakin zikitokea nafasi nyingine hakikisha unacertify

    5. #4
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      sio waajri wote wanataka ucertify vyeti vyako check out cvs yako inawezekana haijiuzi vizuri ndo maana watu hawashawishiki
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    6. #5
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Mpaka watake ucertify e.g makampun ya cmu wanataka cv tu.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      1194
      Likes Given
      1568

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Quote By MR.LEO
      Jamani naomba mnipe ushauri:
      Toka nimeanza kutuma maombi ya kazi katika taasisi mbalimbali za ummma na binafsi sijaitwa interview hata moja.
      Nilipoongea na rafiki yangu mmoja akaniuliza kama huwa nacertify copy za vyeti vyangu au lah!
      Nikamjibu sijawaì kufanya hivyo,ndipo akaniambia hiyo inaweza ikawa sababu.
      SASA WADAU ZILE NAFASI 2000 ZA utumishi niliomba bila kucertify,ina maana nazo sitaitwa kwenye interview,,,??
      Msaada jaman,,,!
      Not True. Hapa ninapofanya kazi mimi, leo ndio nakamilisha mwezi wa tatu, na Jumatatu ndio nimewaletea copy sio original za vyeti vyangu.

      Kuwa variety ya practice maeneo tofauti tofauti lakini at an interview stage hiyo requirement itakuwa very political.

    9. #7
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 669
      Rep Power : 581
      Likes Received
      242
      Likes Given
      75

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      hawa watu wa ajira na ssra akili zao zipo visiginoni. E.g

      Certified copy. Stupidity
      Pitishia barua kwa mwajiri wako wa sasa. None sense

    10. #8
      Baba Mtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2008
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 848
      Rep Power : 717
      Likes Received
      93
      Likes Given
      634

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Quote By MR.LEO
      .......SASA WADAU ZILE NAFASI 2000 ZA utumishi niliomba bila kucertify,ina maana nazo sitaitwa kwenye interview,,,??
      Msaada jaman,,,!
      Ndiyo. Hautaitwa katika usaili kwa kuwa hutimiza moja ya vigezo.

      MIMI SIMO! MIMI SIMO! IKO SIKU NA WEWE UTAKUWEMO!
      (I'M NOT CONCERNED! I'M NOT CONCERNED! ONE DAY YOU WILL BE CONCERNED!)

    11. UKI
      #9
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 682
      Rep Power : 486
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Quote By Ndachuwa
      Tafuta ushauri vitu gani vinatakiwa kwenye "CV" na nini havitakiwi. Mfano kutaja kabila lako, kutaja jinsia yako, kutaja dini yako hivyo vyote havitakiwi. Zaidi sana kuna "cover letter" sijui kama unakumbuka kuweka nayo ni muhimu kuelezea uwezo wako kwenye hiyo kazi unayoomba
      mkuu hapo kwenye red siku hizi hawaweki? duh maendeleo kidogo nakumbuka zamani watu wanaweka mpka kabila duh taratibu watu watabadilika yaani pande za huku nimefurahia sana utaratibu wao ni kitu jina na address tu, age, gender, na mengine yote haitakiwi maana inaonyesha ubaguzi mkubwa,
      Ndachuwa likes this.

    12. #10
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,044
      Rep Power : 692
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      kama tangazo linataka certified, jibu ni Ndio. Hautaitwa kwenye usaili kwa kufeli kigezo cha UWEZO WA KUFUATA MAELEKEZO

    13. #11
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi mtu anaweza kukosa kuitwa kwenye interview kwa sababu ya kutocertify vyeti,,,??

      Inategemea kuna tangazo kati ya yale HAYAKUANDIKA MAMBO YA KUSETIFAI

      na hata wakiandika haimanish hutaitwa mfano huwa wanaandika TRANSCRIPT IS NT ALLOWED bt stil wengne hupeleka na wakaitwa na kazi wakapatiwa.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...