Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JWTZ Professionals

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 47
    1. #1
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default JWTZ Professionals

      Mwenye taarifa atujuze, vijana tupo tayari kuvaa gwanda! Ni tarehe ngapi vile?
      esperansa and USHOROBA like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Askari wa miguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 279
      Rep Power : 431
      Likes Received
      83
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By wakati ndio sasa
      ukishajua itakusaidia nini?je umewezaje kujiita ID hiyo bila kujua iko vp?.ntakusaidia kidog6 Lt Conal huyu anakua na nyota moja pamoja na ngao ya bibi na bwana begani kila upande.
      teh teh mbwa kala mboga za majani
      unajiita lt.col hujui anavaaje begani wala mtiririko wa vyeo.
      Gud reply mkuu

    4. #22
      mama D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,501
      Rep Power : 735
      Likes Received
      395
      Likes Given
      1310

      Default Re: Jwtz Professionals

      Quote By King Kong III
      Hivi Jeshini kuna wataalamu? Kuna kitu gani walishawahi gundua chenye manufaa? Maana majeshi ya wenzetu huko usa ndio technology inapoanzia sijui kwa hapa kwetu ebu tujuzeni.


      hii ndio tanzania ya magamba King Kong III. Jeshini form four waliofeli, mashuleni walimu waliofeli, wauguzi wanaenda pia waliofeli (atleast D biology).......inatisha sana maana tunatengeneza taifa lisilokua na mwelekeo
      Daily News halisomwi tandale kwa mtogole - MPOKI

    5. #23
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By esperansa
      hivi procedure hua zikoje?? i wanna go too....
      first,usiwe na ulemavu wowote,

    6. #24
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: JWTZ Professionals

      jwtz mzuka sanaa vyeo vya kumwaga form6 nyota2,wakati policeform6 ukoplo,magereza nakoform6 ukoplo,form6 kimbilien jwtz

    7. #25
      Africa_Spring's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 421
      Rep Power : 402
      Likes Received
      106
      Likes Given
      64

      Default Re: Jwtz Professionals

      Quote By King Kong III
      Hivi Jeshini kuna wataalamu? Kuna kitu gani walishawahi gundua chenye manufaa? Maana majeshi ya wenzetu huko usa ndio technology inapoanzia sijui kwa hapa kwetu ebu tujuzeni.
      walichogundua ni kua mabomu mengi yame exp. na kuyafanyia kazi kama ilivyo tokea g.mboto na m.gala.Huo ndo utafiti wao mkuu

    8. RukaaJuu Final

    9. NNC
      #26
      NNC's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 352
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Kweli jeshi limeanza course week ya 2 sasa na ni wataalamu tu ndio maana course ya ni Arusha monduli. Watatangaza tena ila kwenda ni mwakani.

    10. #27
      steveachi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 541
      Likes Received
      140
      Likes Given
      56

      Default Re: JWTZ Professionals

      mjiandae kwenda kudundwa na malawi,anapiga za chembe balaa,ziwa lote lao lile,mtachapwa then mnadumbukizwa ziwani mkaliwe na mamba,chezea jeshi wewe,huko ni ukakamavu tu no ubradhamen

    11. #28
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default

      Quote By NNC
      Kweli jeshi limeanza course week ya 2 sasa na ni wataalamu tu ndio maana course ya ni Arusha monduli. Watatangaza tena ila kwenda ni mwakani.
      Mkuu funguka. Watachukua lini?

    12. #29
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default

      Quote By NNC
      Kweli jeshi limeanza course week ya 2 sasa na ni wataalamu tu ndio maana course ya ni Arusha monduli. Watatangaza tena ila kwenda ni mwakani.
      Mkuu funguka. Watachukua lini? Walisema ni JKT ndio wapo mafunzoni. Weka mambo sawa mkuu!

    13. #30
      Ki2pio's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Posts : 6
      Rep Power : 442
      Likes Received
      1
      Likes Given
      7

      Default Re: JWTZ Professionals

      Mnatuchanganya tu jamani .......................! watu tunangojea watangaze afu mnasema watu tayari wako depo..........!???? mbna hamueleweki...............!

    14. #31
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default

      Quote By Ki2pio
      Mnatuchanganya tu jamani .......................! watu tunangojea watangaze afu mnasema watu tayari wako depo..........!???? mbna hamueleweki...............!
      Yeah jamaa wanazingua sana!

    15. #32
      mkayala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2009
      Posts : 331
      Rep Power : 588
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Ki2pio
      Mnatuchanganya tu jamani .......................! watu tunangojea watangaze afu mnasema watu tayari wako depo..........!???? mbna hamueleweki...............!
      ni roho mbaya,na yeye anahitaj anaona mtambania,Ni mwez wa 10,mm pia nasubiri

    16. #33
      Boniphace17's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 70
      Rep Power : 359
      Likes Received
      12
      Likes Given
      2

      Default Re: JWTZ Professionals

      Guys, plz naomba kufahamishwa, kwa waliomaliza vyuo na wanasubiri graduation on octoba, novemba e.t.c mwaka huu..wanayo fursa? n if yes how r dey gona b recognized as graduates coz hawana vyet?

    17. #34
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2613
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: JWTZ Professionals

      Quote By Boniphace17
      Guys, plz naomba kufahamishwa, kwa waliomaliza vyuo na wanasubiri graduation on octoba, novemba e.t.c mwaka huu..wanayo fursa? n if yes how r dey gona b recognized as graduates coz hawana vyet?
      how can u be recognized as graduate before graduation?

    18. #35
      imma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2009
      Posts : 421
      Rep Power : 585
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Re: JWTZ Professionals

      Hivi JWTZ hawana website?. Haya pelekeni ***** wenu huko..

      A question that sometimes drives me hazy: am I or are the others crazy?

    19. #36
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default

      Quote By imma
      Hivi JWTZ hawana website?. Haya pelekeni ***** wenu huko..
      Acha ushamba wewe!

    20. #37
      Charlz mgonja's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 359
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: JWTZ Professionals

      jipangeni sio mnataka kukimbilia jeshi sababu mtaa umekushinda jiangalie kama una interest pagumu humu mwenyewe nilisota

    21. #38
      westone's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 373
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JWTZ Professionals

      kama mtu anataka jeshi ni vizuri apewe nafasi sio kwa sababu amekosa ajira ingekuwa hivyo watu wengi wangeenda

    22. #39
      Laurence's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : ULIMWENGUNI
      Posts : 2,043
      Rep Power : 1394
      Likes Received
      175
      Likes Given
      41

      Default Re: JWTZ Professionals

      Kwa taarifa nilizonazo proffessional wamechukuliwa mwezi wa 6 na sasa wapo mafunzoni kwa miezi 6 mimi mwenyewe nmepewa taarifa na mkuu mmoja wakambi hapa Kigoma,ila wakianza mchakato tena tutapeana taarifa wakuu

    23. #40
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default

      Quote By Laurence
      Kwa taarifa nilizonazo proffessional wamechukuliwa mwezi wa 6 na sasa wapo mafunzoni kwa miezi 6 mimi mwenyewe nmepewa taarifa na mkuu mmoja wakambi hapa Kigoma,ila wakianza mchakato tena tutapeana taarifa wakuu
      Habari hizi zinachanganya!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...