Habari wan jf kuna ndugu yangu aliomba utumishi akatumia transcripts ameitwa kwenye interview bila hata kujali kile kipengele cha transcripts is totaly prohibited lakini kapata nafasi uzuri tayali vyetu vyao vimetoka so hamna shida.nathani hiki kipengele huwa hawacheck mnaweza tumemia transcripts wakija kutaka cheti vinakuwa vimetoka tayali gud luck

Reply With Quote

Follow Us Here