Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      Habari wan jf kuna ndugu yangu aliomba utumishi akatumia transcripts ameitwa kwenye interview bila hata kujali kile kipengele cha transcripts is totaly prohibited lakini kapata nafasi uzuri tayali vyetu vyao vimetoka so hamna shida.nathani hiki kipengele huwa hawacheck mnaweza tumemia transcripts wakija kutaka cheti vinakuwa vimetoka tayali gud luck
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,542
      Rep Power : 6990
      Likes Received
      1164
      Likes Given
      580

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      kasoma Tia?
      SYENDEKE likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    4. #3
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      Quote By ummu kulthum
      kasoma Tia?
      ndugu umejuaje aiseeeee amesoma Tia
      ummu kulthum likes this.
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    5. #4
      Mr. Wise's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd July 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 358
      Likes Received
      7
      Likes Given
      23

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      Atafika kwa Interview ila mlangano wanavyokagua vyeti watamrudisha tu....kuitwa interview wanakuita vizuri tena hadi kwenye news paper waweka jina lako,siku ya interview wanakurudisha iyo ni kawaida yao bwana.

    6. #5
      wapalepale's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Posts : 202
      Rep Power : 454
      Likes Received
      21
      Likes Given
      33

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      muache aende wala asiogope!!! me ilinitokea issue kama hiyo mwaka 2010, secretariate ya ajira waliniita lakini sikuwa na cheti bali transcript. ilinihudhunisha sana na ilinibidi niombe ushauri kwa watu mbalimbali wengine walinambia bora nisiende maana sitaruhusiwa kuhudhuria interview au wanaweza kuniruhusu interview lakini ajira nisahau!! Ila kuna mwalimu wangu wa chuo alinipa moyo sana aliponambia wewe nenda wakakurudishe wenyewe badala ya kujirudisha wewe binafsi, zaidi ya yote akasema transcript kwa Muajili muelewa ni Nzuri maana inaonyesha actual score katika kila soma alilofanya Muhusika. Kweli nilienda na transcript zangu hawakunirudisha nikafanyiwa interview baadae nikawa miongoni wa walioitwa kazini na mpaka sasa nipo kazini.
      Cha muhimu ukipata kazi fanya juhudi uchukue cheti chako mapema ili utakapoitwa kuripot kazini uwe nacho!
      nakutakia Interview njema..!!!!!!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,944
      Rep Power : 2602
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      Quote By ummu kulthum
      kasoma Tia?
      khaaaaaah......

    9. #7
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      uwa hawako makini ata usipoweka vyeti utaitwa tu kwanza wanaita kiushahidi tu mana wapo wenye nafasi zao tiali

    10. #8
      Tewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2008
      Posts : 452
      Rep Power : 670
      Likes Received
      63
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By wapalepale
      muache aende wala asiogope!!! me ilinitokea issue kama hiyo mwaka 2010, secretariate ya ajira waliniita lakini sikuwa na cheti bali transcript. ilinihudhunisha sana na ilinibidi niombe ushauri kwa watu mbalimbali wengine walinambia bora nisiende maana sitaruhusiwa kuhudhuria interview au wanaweza kuniruhusu interview lakini ajira nisahau!! Ila kuna mwalimu wangu wa chuo alinipa moyo sana aliponambia wewe nenda wakakurudishe wenyewe badala ya kujirudisha wewe binafsi, zaidi ya yote akasema transcript kwa Muajili muelewa ni Nzuri maana inaonyesha actual score katika kila soma alilofanya Muhusika. Kweli nilienda na transcript zangu hawakunirudisha nikafanyiwa interview baadae nikawa miongoni wa walioitwa kazini na mpaka sasa nipo kazini.
      Cha muhimu ukipata kazi fanya juhudi uchukue cheti chako mapema ili utakapoitwa kuripot kazini uwe nacho!
      nakutakia Interview njema..!!!!!!!

      That is double standard & unfair wengine wanaacha kuapply kwa kukosa vyeti na wengine wanaaply bila kukidhi vigezo na wanaajiriwa, what a stupid govenment is this?

    11. #9
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,542
      Rep Power : 6990
      Likes Received
      1164
      Likes Given
      580

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      Quote By Ulimakafu
      khaaaaaah......
      unashang'aa nini?
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    12. GP
      #10
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Utumishi wameita bila kuwa na cheti

      Quote By Mr. Wise
      Atafika kwa Interview ila mlangano wanavyokagua vyeti watamrudisha tu....kuitwa interview wanakuita vizuri tena hadi kwenye news paper waweka jina lako,siku ya interview wanakurudisha iyo ni kawaida yao bwana.
      kwa ufupi hii inaweza ikawa na ujanja wa kupunguza ushindani ili kama kuna mtu wao apite kiulaini, STUKA mpwa!.
      yani kama wameita watu 5, na wakijua kwamba watu 2 kati yao wana transcripts tu then ni dhahiri shairi kwamba mchuano utakua ni wa watu 3 badala ya 5 kama kuna mtu wao ana kimemo anapita kiulainiiii!,
      hilo ni BOYA, stuka.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...