Nimeitwa kwenye usaili COASCO wa Assistant Auditor. Ila kwa sasa ninafanya kazi sekta binafsi. Si ifahamu vizuri COASCO. Wakati naomba kazi nilikuwa sina kazi na ilikuwa mwezi wa tatu. So, kwa mdau yoyote anayefahamu COASCO ikiwemo malipo yao, naomba anijuze. Utakua umenisaidia kufanya maamuzi sahihi aidha kuondoka huku niliko au kubaki na kupunguza ushindani kwa wasailiwa wengine.
Kwa hiyo jamaa aliekupigia simu hakukuambia ofisi zinapatikana wapi? yaani hata code number ya simu iliyotumika hukuifahamu, Tangazo la kazi nalo halikuandika? wabongo tuache uvivu wa ku google, haya link hiyo http://www.ilo.org/public/english/em...oad/coasco.pdf
Kwa hiyo jamaa aliekupigia simu hakukuambia ofisi zinapatikana wapi? yaani hata code number ya simu iliyotumika hukuifahamu, Tangazo la kazi nalo halikuandika? wabongo tuache uvivu wa ku google, haya link hiyo http://www.ilo.org/public/english/em...oad/coasco.pdf
Mr Suggestion, asante kwa link yako. Ila, sio kwamba sifahamu wanapatikana wapi. Ninachomaanisha hapa ni utaratibu wa kazi zao na malipo yao yakoje ili niweze kufanya maaumuzi ya aidha kuattend usaili Dodoma au laa hivyo kupunguza ushindani kwa wengine. So, kama unafahamu utaribu wao wa malipo na kazi, nijuze please.
MoneyMaker kama wewe ni professional basi unajua thamani yako ni ipi, mimi nikienda kwenye usaili wowote ule nitasema nipeni kiasi fulani zaidi ya hapo sikubaliani na hiyo ajira yao, wewe kwa sasa labda uulizie life ya Dodoma ikoje, namaanisha msosi, nyumba, matibabu na starehe garama zake kwa hapo mkoani zikoje, ndio utakuwa na wakati mzuri wa kuomba kiasi fulani cha mshahara.
MoneyMaker kama wewe ni professional basi unajua thamani yako ni ipi, mimi nikienda kwenye usaili wowote ule nitasema nipeni kiasi fulani zaidi ya hapo sikubaliani na hiyo ajira yao, wewe kwa sasa labda uulizie life ya Dodoma ikoje, namaanisha msosi, nyumba, matibabu na starehe garama zake kwa hapo mkoani zikoje, ndio utakuwa na wakati mzuri wa kuomba kiasi fulani cha mshahara.
kaka coasco ni shirikisho la ukaguzi la vyama vya ushirika,kazi yao ni kukagua vyama vya ushirika,sina uhakika na malipo yao ila kuna maslahi mazuri,nishafanya nao kazi walikuja kukagua vyama vyetu,mie ni afisa ushirika.
kaka coasco ni shirikisho la ukaguzi la vyama vya ushirika,kazi yao ni kukagua vyama vya ushirika,sina uhakika na malipo yao ila kuna maslahi mazuri,nishafanya nao kazi walikuja kukagua vyama vyetu,mie ni afisa ushirika.
naona wameita watu 417 kwa nafasi 11 is it fair kweli? jamaa bwana wanakatisha tamaa kinoma, anyaway nendeni mkajaribu
Yaani, we acha tu. Ndo maana najaribu kufahamu malipo yao ili niweze kufanya maamuzi sahihi. Si ajabu wametuita wengi ili kutoa lawama ilhali wana watu wao wamewaandaa tayari. A'way, ndo maisha yenyewe Mkuu Qulfayaqul.
wakuu wametoa wapi hayo majina naomba kujuzwa jamani mm ni momoja ya watu waliomba au waliwapigia simu
Mkuu Mwana mnyonge,majina wametoa kwenye website ya sekretariat ya ajira www.ajira.go.tz under heading TANGAZO LA USAILI -27 JULY, 2012. (Call for Interview). Changamkia.
kama una C.P.A kijana utalipwa take home kuanzia 1.5m,kama hauna take home inarange kati ya 800k hadi 1.2m,kila la kheri mkuu,hawa jamaa wana mipango mizuri hasa kama una C.P.A,nasikia wameingia mkataba na internatinal Organization fln i guess UN watakuwa wanawakagua hivyo watakaobahatika watasafiri sana nje ya nchi kupiga mzigo wa ukaguzi
kama una C.P.A kijana utalipwa take home kuanzia 1.5m,kama hauna take home inarange kati ya 800k hadi 1.2m,kila la kheri mkuu,hawa jamaa wana mipango mizuri hasa kama una C.P.A,nasikia wameingia mkataba na internatinal Organization fln i guess UN watakuwa wanawakagua hivyo watakaobahatika watasafiri sana nje ya nchi kupiga mzigo wa ukaguzi
Mkuu steveachi, asante kwa info. lakini mi nilisikia NAO (National Audit Office) kwa Utoh ndio walioingia mkataba na international organization, kumbe ni COASCO? Duh. kazi ipo. Ubarikiwe.
kama una C.P.A kijana utalipwa take home kuanzia 1.5m,kama hauna take home inarange kati ya 800k hadi 1.2m,kila la kheri mkuu,hawa jamaa wana mipango mizuri hasa kama una C.P.A,nasikia wameingia mkataba na internatinal Organization fln i guess UN watakuwa wanawakagua hivyo watakaobahatika watasafiri sana nje ya nchi kupiga mzigo wa ukaguzi
Usijichanganye National Audit na COASCO ni taasisi mbili tofauti steveachi
"Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker
kama una C.P.A kijana utalipwa take home kuanzia 1.5m,kama hauna take home inarange kati ya 800k hadi 1.2m,kila la kheri mkuu,hawa jamaa wana mipango mizuri hasa kama una C.P.A,nasikia wameingia mkataba na internatinal Organization fln i guess UN watakuwa wanawakagua hivyo watakaobahatika watasafiri sana nje ya nchi kupiga mzigo wa ukaguzi
By Ndachuwa
Usijichanganye National Audit na COASCO ni taasisi mbili tofauti steveachi
Ni kweli Mkuu Ndachuwa, mi nilisikia NAO kwa Utoh ndo waloingia mkataba na International organisation, sio COASCO. Mkuu steveachi, tunaomba ufafanuzi kidogo mkuu. Ubarikiwe.
Nimeitwa kwenye usaili COASCO wa Assistant Auditor. Ila kwa sasa ninafanya kazi sekta binafsi. Si ifahamu vizuri COASCO. Wakati naomba kazi nilikuwa sina kazi na ilikuwa mwezi wa tatu. So, kwa mdau yoyote anayefahamu COASCO ikiwemo malipo yao, naomba anijuze. Utakua umenisaidia kufanya maamuzi sahihi aidha kuondoka huku niliko au kubaki na kupunguza ushindani kwa wasailiwa wengine.
Ni hayo tu wanabodi.
Nawasilisha.
Ni kama Auditing firm ila inajishughulisha na vyama vya ushirika tu especially SACCOS
Follow Us Here