nataka kuuliza je majibu yanatoka lini kwa walioomba kazi ya ukarani coz kazi rasmi inaanza tarehe sita...nawasilisha
nataka kuuliza je majibu yanatoka lini kwa walioomba kazi ya ukarani coz kazi rasmi inaanza tarehe sita...nawasilisha
Ni bora bodi ya sensa ikatangaza hadharani malipo sensa ni shilingi ngapi kwa siku ili kuepuka uchakachuaji wa baadhi ya watakaokabidhiwa majukumu ya kuwalipa makarani.
MIMI SIMO! MIMI SIMO! IKO SIKU NA WEWE UTAKUWEMO!
(I'M NOT CONCERNED! I'M NOT CONCERNED! ONE DAY YOU WILL BE CONCERNED!)
NiKo KATA YANGU, NIMEAMBIWA WANABANDIKA MAJINA AFTER TEN MINUTES, NDO NANGOJEA.
Kata ipi mkuu? Kama wakipandika tujuze nasi tujaribu kwenda sijui huku moshi wanabandika lini
Kwahyo majina yanabandikwa kata?kule zilipokusanywa?
jaman vip tayar wamebandika mana huku kihae hae
Wakuu kwa aliyepo dar kata ya makongo vp wameshatoa!mana wengine 2po mbali kdogo na eneo 2julishane.
Follow Us Here