jamani ninaomba msaada wa kupata kazi , nimezunguka mpaka viatu vimeishia visigino. Natanguliza shukrani.
jamani ninaomba msaada wa kupata kazi , nimezunguka mpaka viatu vimeishia visigino. Natanguliza shukrani.
Usikate tamaa,pambana.Kukata tamaa ni dhambi isiyosameheka!
pole sana ndugu yangu...omba mungu tu atakusaidia
hebu check humu kweye page niliona sehemu wanahitaji marketer fresher from school
marufuku kukata tamaa pliz!!!! Muombe Mungu wako atakujaalia kazi nzuri tukwani cheti hakimuangushi mtu...
Kazi utapata fanya sana muombe sana Mungu na wakati huohuo endelea kuwa mtafiti wa taarifa za nafasi zinazotangazwa na we tuma popote pale kwani utakuwa unaendelea kupata uzpefu wa interview usiwe unavunjika moyo pale unapokosa.hata mimi natafuta kazi lakini bado sijakata tammaa na katika maisha yangu huwa siamini kwamba nikisoma nitakosa kazi ,isipokuwa muda wa kupata kazi unaweza ukachelewa ila lazima utapata tu kaka .Mungu akutangulie na usimtegemee mwanadamu kamwe maana hubadilika ila mUnug habadiliki.
Follow Us Here